Ndege Tausi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 992
- 472
kama mume mkewe hajabahatika kumzalia mtoto. lakini mume anaye mwanamke nje ya ndoa anamzalia watoto halafu mwanaume huyo anaendelea kumwambia mkewe eti bado anampenda sana, je ni kweli anampenda mkewe? Naomba wajibu wanaume ambao hili jambo limewatokea tafadhali.