Wachagga nimethibitishiwa hili na Mchagga tukuka mwenzenu je, lina ukweli au mnalikataa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,646
109,032
"Kwa Mila zetu Wachagga ni kwamba Mwanamke yoyote yule wa Kichagga akiolewa licha ya Kumzalia Watoto huyo Mumewe lakini pia anatakiwa Kuchanganya Damu ( Kuzaa Mtoto wa Nje ya Ndoa ) ili ikitokea hawa Watoto aliozaa na Mumewe wa Ndoa wamepatwa na Janga baya la Ugonjwa basi kuwepo na Mtoto Mwingine ambaye ni mzima na huyu ni wa Nje ya Ndoa" amesema Mwanamke wa Kichagga kutoka Marangu alipokuwa akizungumza na Mdadisi na Mchokonoaji Tukuka GENTAMYCINE jana Jioni.

Taratibu sasa naanza Kumuamini na Kumuelewa kwani kuna Familia Tatu za Kichagga zote zina Watoto Wanne Wanne ila zote hizo kuna Watoto ambao hawafanani kabisa na Wenzao Watatu ndani ya hizo Familia zao.

Haya Ndugu zangu mliooa au mtakaooa Wanawake wa Kichagga kulea Mabao yasiyo yenu ni jambo la kawaida hivyo kuweni tu Wavumilivu kwani Wanawake wa Kichagga wanadumisha Mila za Kwao Mkoani Kilimanjaro ( Moshi )

Kazi ipo.....!!
 
Sio wachaga tu ni makabila mengi yapo hvo, wanaamini kama Kuna laana, magonjwa ya kurithi, tabia mbaya za kurithi inakua rahis kukata mnyororo......kwa wanawake wanashauriwa kama ana watoto saba at least wawili au watatu watoke ng'ambo, kwa sisi wanaume utaambiwa mwanaume hafundishwi kazi piga kadiri uwezavyo
 
"Kwa Mila zetu Wachagga ni kwamba Mwanamke yoyote yule wa Kichagga akiolewa licha ya Kumzalia Watoto huyo Mumewe lakini pia anatakiwa Kuchanganya Damu ( Kuzaa Mtoto wa Nje ya Ndoa ) ili ikitokea hawa Watoto aliozaa na Mumewe wa Ndoa wamepatwa na Janga baya la Ugonjwa basi kuwepo na Mtoto Mwingine ambaye ni mzima na huyu ni wa Nje ya Ndoa" amesema Mwanamke wa Kichagga kutoka Marangu alipokuwa akizungumza na Mdadisi na Mchokonoaji Tukuka GENTAMYCINE jana Jioni.

Taratibu sasa naanza Kumuamini na Kumuelewa kwani kuna Familia Tatu za Kichagga zote zina Watoto Wanne Wanne ila zote hizo kuna Watoto ambao hawafanani kabisa na Wenzao Watatu ndani ya hizo Familia zao.

Haya Ndugu zangu mliooa au mtakaooa Wanawake wa Kichagga kulea Mabao yasiyo yenu ni jambo la kawaida hivyo kuweni tu Wavumilivu kwani Wanawake wa Kichagga wanadumisha Mila za Kwao Mkoani Kilimanjaro ( Moshi )

Kazi ipo.....!!
Haya sasa
 
"Kwa Mila zetu Wachagga ni kwamba Mwanamke yoyote yule wa Kichagga akiolewa licha ya Kumzalia Watoto huyo Mumewe lakini pia anatakiwa Kuchanganya Damu ( Kuzaa Mtoto wa Nje ya Ndoa ) ili ikitokea hawa Watoto aliozaa na Mumewe wa Ndoa wamepatwa na Janga baya la Ugonjwa basi kuwepo na Mtoto Mwingine ambaye ni mzima na huyu ni wa Nje ya Ndoa" amesema Mwanamke wa Kichagga kutoka Marangu alipokuwa akizungumza na Mdadisi na Mchokonoaji Tukuka GENTAMYCINE jana Jioni.

Taratibu sasa naanza Kumuamini na Kumuelewa kwani kuna Familia Tatu za Kichagga zote zina Watoto Wanne Wanne ila zote hizo kuna Watoto ambao hawafanani kabisa na Wenzao Watatu ndani ya hizo Familia zao.

Haya Ndugu zangu mliooa au mtakaooa Wanawake wa Kichagga kulea Mabao yasiyo yenu ni jambo la kawaida hivyo kuweni tu Wavumilivu kwani Wanawake wa Kichagga wanadumisha Mila za Kwao Mkoani Kilimanjaro ( Moshi )

Kazi ipo.....!!
embu subiri kidogo nimuulize mzee mlayi, mzee msuya, mzee masawe na mtei maana wote tupo moshi hapa kwa mama ndosii tunakunywa mbege
 
"Kwa Mila zetu Wachagga ni kwamba Mwanamke yoyote yule wa Kichagga akiolewa licha ya Kumzalia Watoto huyo Mumewe lakini pia anatakiwa Kuchanganya Damu ( Kuzaa Mtoto wa Nje ya Ndoa ) ili ikitokea hawa Watoto aliozaa na Mumewe wa Ndoa wamepatwa na Janga baya la Ugonjwa basi kuwepo na Mtoto Mwingine ambaye ni mzima na huyu ni wa Nje ya Ndoa" amesema Mwanamke wa Kichagga kutoka Marangu alipokuwa akizungumza na Mdadisi na Mchokonoaji Tukuka GENTAMYCINE jana Jioni.

Taratibu sasa naanza Kumuamini na Kumuelewa kwani kuna Familia Tatu za Kichagga zote zina Watoto Wanne Wanne ila zote hizo kuna Watoto ambao hawafanani kabisa na Wenzao Watatu ndani ya hizo Familia zao.

Haya Ndugu zangu mliooa au mtakaooa Wanawake wa Kichagga kulea Mabao yasiyo yenu ni jambo la kawaida hivyo kuweni tu Wavumilivu kwani Wanawake wa Kichagga wanadumisha Mila za Kwao Mkoani Kilimanjaro ( Moshi )

Kazi ipo.....!!
Mnakaa baa Marangumtoni kwa lile jimama kisha unatuletea sisi tujadili!
Mchaga wa Marangu na wa Hai wanatofautiana mila na desturi.
 
Back
Top Bottom