Wanaume wengi ni wapenzi wa jinsia moja bila kujijua!

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
naomba niwasilishe mtazamo wangu wa masuala ya mahusiano na urafiki.....

unakuta mwanaume mtu mzima ana mpenzi/mke na wanaishi pamoja au hata mbali kidogo,jamaa kila kukicha ni ugomvi na mwenziwe..hana muda wa kukaa na mpenzi wake wakacheka na kufurahi plus kuongea mambo ya maana na mipango ya maisha.........akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!

wanaume wenye tabia hizi inabidi mbadilike........sisemi uckae na jamaa zako la hasha..ila familia/mke/mpenzi should come first always.....

na vice versa is truu kwa dada zetu..
 
naomba niwasilishe mtazamo wangu wa masuala ya mahusiano na urafiki.....

unakuta mwanaume mtu mzima ana mpenzi/mke na wanaishi pamoja au hata mbali kidogo,jamaa kila kukicha ni ugomvi na mwenziwe..hana muda wa kukaa na mpenzi wake wakacheka na kufurahi plus kuongea mambo ya maana na mipango ya maisha.........akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!

wanaume wenye tabia hizi inabidi mbadilike........sisemi uckae na jamaa zako la hasha..ila familia/mke/mpenzi should come first always.....

na vice versa is truu kwa dada zetu..
Sidhani kama tafsiri ya hii kitu iko kama ulivyoiweka...
Kukosa muda wa kuongea na mpenzi inaweza kuwa inasababishwa na mambo mengi hapo nyumbani..na inaweza kutokea hata kwa mke kutokuwa na muda na mumewe...
Hili la kusema eti wanaume wanaokuwa wanatumia muda mwingi na wanaume wenzao kwamba..wangeshatusuliwa..limekaa 'kiumbea zaidi'..unahitaji kutoa facts kuthibitisha..
otherwise mie naona hii yote ni marriage hangover'..means ukikaa sana kwenye ndoa ..unakuwa kama unaboreka..
ni mtazamo wangu tu lakini!!!
 
Mkonowapaka unakwaza!!

Hakuna anayeanza tu kumchukia mwenzie wakati alikuwa mpenzi wake hadi akaamua kumuoa. Ukiona ghafla anaanza kuwamaindi marafiki zake na kuwa mkali kwa mke ujue kuna sababu ambayo unaifumbia macho!! Huyo mke yeye hachangii chochote?
 
akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!
.

Kwani....kila mtu/rafiki (wa kike au kiume) unayespend time naye mkingea/mkanywa/mkafurahi basi ni 'mpenzi' wako? Kama ni hivyo basi wengine hapa tuna wapenzi kwa mamia!
 
Kwani....kila mtu/rafiki (wa kike au kiume) unayespend time naye mkingea/mkanywa/mkafurahi basi ni 'mpenzi' wako? Kama ni hivyo basi wengine hapa tuna wapenzi kwa mamia!

ukitulia vizuri na ukajipa muda wa kutafakari utaelewa na maanisha kitu gani..........huwezkunielewa kwa kusoma kijuu juu...it can be yes or no depending pia na perception yako..but relax n read it again...there is a problem somewhere
 
Inategema kama mwanaume anakua na marafiki zake na urafiki wao ni mapenzi ya kukaa pamoja tuu na hayana uhisano wowote namatamanio ya kingono, basi huyo ni ana boreka na tabia za mkewe tuu ,Ila kama ana kaa na hao rafiki zake na ni anavutiwa nao kingono ,basi huyo sio mpenzi wa jinsia moja, huyo ni mpenzi wa jinsia zote (Bisexual) , ila moja imepitiliza zaidi.
 
Inategema kama mwanaume anakua na marafiki zake na urafiki wao ni mapenzi ya kukaa pamoja tuu na hayana uhisano wowote namatamanio ya kingono, basi huyo ni ana boreka na tabia za mkewe tuu ,Ila kama ana kaa na hao rafiki zake na ni anavutiwa nao kingono ,basi huyo sio mpenzi wa jinsia moja, huyo ni mpenzi wa jinsia zote (Bisexual) , ila moja imepitiliza zaidi.

inahitajika kukaa chini kunielewa vizuri....nimesema kwamba si lazima uonyeshe sign yeyote ya kumhitaji mtu bisexually or whatever...pia apa nazungumzia wale ambao hawajitambui kbisa kama wanamrengo huo..........wanajiona wako sawa kbs napengine wala hawajui izo michezo...ni suala la kisaikolojia zaidi..
 
naomba niwasilishe mtazamo wangu wa masuala ya mahusiano na urafiki.....

unakuta mwanaume mtu mzima ana mpenzi/mke na wanaishi pamoja au hata mbali kidogo,jamaa kila kukicha ni ugomvi na mwenziwe..hana muda wa kukaa na mpenzi wake wakacheka na kufurahi plus kuongea mambo ya maana na mipango ya maisha.........akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!

wanaume wenye tabia hizi inabidi mbadilike........sisemi uckae na jamaa zako la hasha..ila familia/mke/mpenzi should come first always.....

na vice versa is truu kwa dada zetu..


Duh kumbe mmeo/mpenzi wako ndivyo alivyo eeh, Wengine siye tunakaaga na mke yangu banah, nacheka na watoto. Pole sana
 
kweli interesting observation...but whats also interesting ni je unajua sababu zinazowafanya wanaue wakae baa na jamaa zao na so kurudi nyumbani na kuspend time na wake zao? ni rahisi sana kupoint finger kwa wanaume ila je wewe mke ulishafanya yote ili mumeo awe anataka kuja nyumbani kwanza na sio marafiki au kona bar?
 
naomba niwasilishe mtazamo wangu wa masuala ya mahusiano na urafiki.....

unakuta mwanaume mtu mzima ana mpenzi/mke na wanaishi pamoja au hata mbali kidogo,jamaa kila kukicha ni ugomvi na mwenziwe..hana muda wa kukaa na mpenzi wake wakacheka na kufurahi plus kuongea mambo ya maana na mipango ya maisha.........akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!

wanaume wenye tabia hizi inabidi mbadilike........sisemi uckae na jamaa zako la hasha..ila familia/mke/mpenzi should come first always.....

na vice versa is truu kwa dada zetu..

Hapo mkuu sikuingi mkono asilimia 100 ila uzoefu unaonesha kuwa katika mahusiano mengi kumekuwa na hii tabia ya wanawake kuwaletea kero mbalimbali wanaume wao na hii ndo sababu wengi wao wanakuwa na ukaribu sana na mwrafiki zao kuliko wapenzi wao,hii ni kwa maono yangu nawasilisha hoja.
 
'Wapenzi wa jinsia moja' maana yake nini? Kama unakusudia kusema 'ushoga' nadhani sio sahihi. Ushoga ni zaidi ya platonic love....mtu anavutiwa kufanya ngono na mtu wa jinsia yake. Sasa kama kitendo cha kukaa bar pamoja ama kufurahiana mnapo ongea kwenye simu ni ushoga then urafiki ni nini?
 
Back
Top Bottom