mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
naomba niwasilishe mtazamo wangu wa masuala ya mahusiano na urafiki.....
unakuta mwanaume mtu mzima ana mpenzi/mke na wanaishi pamoja au hata mbali kidogo,jamaa kila kukicha ni ugomvi na mwenziwe..hana muda wa kukaa na mpenzi wake wakacheka na kufurahi plus kuongea mambo ya maana na mipango ya maisha.........akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!
wanaume wenye tabia hizi inabidi mbadilike........sisemi uckae na jamaa zako la hasha..ila familia/mke/mpenzi should come first always.....
na vice versa is truu kwa dada zetu..
unakuta mwanaume mtu mzima ana mpenzi/mke na wanaishi pamoja au hata mbali kidogo,jamaa kila kukicha ni ugomvi na mwenziwe..hana muda wa kukaa na mpenzi wake wakacheka na kufurahi plus kuongea mambo ya maana na mipango ya maisha.........akitoka ofisini ni straight wanameet na marafiki zao...wanapeana stories wanacheka wanafurahi mpaka basi....njoo nyumbani sasa..hakukaliki!!achilia mbali tangu ametoka nyumbani asubuhi hajaulizia kuna hali gani,,mama akipiga simu inajibiwa kwa hasira!!!akipiga mshkaji mwanaume mwenzie inapokelewa kwa furaha na vicheko...hizo ni dalili tosha kwamba wewe ni mpenz wa jinsia moja au unapenda wanaume wenzio kuliko wanawake basi tu hujapata exposure ya kutosha ungekuwa ushatusuliwa.....au pengine..who knows!!
wanaume wenye tabia hizi inabidi mbadilike........sisemi uckae na jamaa zako la hasha..ila familia/mke/mpenzi should come first always.....
na vice versa is truu kwa dada zetu..