Wanaume, wamekuwaje jamani!!!!

Ambassador hata mpewe vipi bado mtakuwa na visingizio.....wanaume sijui mmeumbwaje? Nyie watu mna roho za ajabu sana mnageuza wanawake ni chombo cha matumizi sijui kwa nini?
Hamjashtuka tu Pakawa? Ndo maana nasema muwang'ang'anie mpaka wakikaa wanawaza kurudi! Vinginevyo wanyime kama mnajiona kutumiwa. Kumbuka wanawake ni wachache kuliko wanaume, wanaume wengine wanatekeleza jukumu la kusambaza huduma ili hao wanawake wasipitwe!
 
Habari wana jamvi,

Nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa mashosti eti utakuta mwanaume anamtokea msichana na kumuimbisha sana, mimi nakupenda zinakuwa nyingi, lakini mkishapewa mara moja ndo mnaanza visa, mara nina kazi nyingi nimebanwa, kabla ya kupewa muda ulikuwa mwingi tu wa kuwatafuta lakini ukishampata ndo visingizio vinaanza. Mimi nina saloon na grocery huko ndio huwa wadada wakija kutengeneza nywele au tukiwa tunapata moja moto moja baridi mashosti wanalalamika sana kuhusu hilo. Eti tunaomba mtuambie mmekuaje?
hiyo ina apply hata kwenye kutafuta kazi, shule, tenda nk. wakati unaomba unakuwa mnyenyekevu sana ila ukipata una relax its human nature
 
Vitu vingine ukionja ni kama shubiri...huwezi kurudi tena...lakini vipo vingine kama asali utarudia mara milioni....msitulaumu tu wanaume,hata nyie wanawake mna issues nyingi pia

Sometimes ufundi nao tatizo....! Unaweza kumuona demu bomba kishenzi, ukifunua sahani unakuta chakula chabaridi halafu hajui ufundi! Kwa hivyo unazuga tu na kuanza kuimba "this country bwana is very poor"

Hapo inakuwa bye bye tena!
 
Wanawake mnatakiwa muwe makini sana. kwani nakupenda ni silaha ya kuwauwa wanawake wengi sana, na nyinyi wanawake munapenda sana maisha rahisi hilo ndo kosa lenu hamupendi kumaliza muda wenu kutafuta fununu za wapenzi wenu wapya.
tafadhali muwe wabunifu hapo mutatuwini wanaume..
 
Safina inshu ni kuwa!! wanawake wengi wanakuwa siyo wabunifu utakuta mdada anategemea tu hiyo kitu yake kama mtaji wakunipata mimi na kuongeza life security yake. Hakumbuki kuwa mimi nachotaka ni furaha katika maisha yangu, natakiwa nijisikie vizuri zaidi nikiwa naye na kumuona ni muhimu kuwa naye muda mwingi. Kingine wadada wanarely mno kwa wanaume!! Mi nilikuwa na kitu changu yaani hadi raha nikitaka muda wowote napata, no complication na yeye akitaka nampa. Mizinga siyo lazima ila akinifuma ninazo nampa namimi nikichacha nampiga mzinga vile vile!! life linakuwa siyo gumu sana maana mtu kama unapata taabu kuzichanga inakuwa ngumu hata kuongeza mzigo (Tegemezi).

Wadada wengi wanakuwa too much tegemezi siku hizi, ila naona saizi wanabadirika kidogo kodogo ambapo bado ni wachache.

Thanks for the post.

Wewe ulikuwa na wako full shangwe, sasa umemuacha au. Wadada siku hizi mbona hawako tegemezi ki-vile kaka. Tunatafuta na cc. Mambo siku hizi yamebadilika sana. Sema tu wanaume wameishusha thamani ya wanawake au ni sisi wanawake ndo tumejishusha thamani? Yaani huwa navionea hata huruma hivi visichana, maana unakuta ni virembo kweli kweli lakini ndo hivyo tena, utasikia yaani nimekoma, sikutegemea kama fulani alivyokuwa ananifuata na kuniimbisha angenifanyia hivyo. Mwingine anaongeza siku hizi hawa watu si watu, juzi mwingine alisema anataka aanzishe NGO ya kutushauri wanawake tuache kuvaa suruali, tuache kuvaa vitu vya kutubana na tuache kuwaamini wanaume pindi wanapotuambia wanatupenda maana huwa hawamaanishi. Nawashukuru wachangiaji wote mlionichangia, siku tukikutana nitachukua ushauri wenu nilioona unafaa na kuchangia nao hoja zao watakazokuja nazo siku hiyo, maana tukiwa saloon au grocery pamoja na mambo mengine tunaayoongea kuhusu kusukuma hili gurudumu. Mara nyingi story zimekuwa ni kulalalmika kuhusu hawa viumbe wanaume. Jamani tuoneeni huruma, kama unakuwa haumpendi mtu ni bora husimtamkie harafu ukishampata unamwacha wakati yeye ndo anakuwa ameshakupa moyo wake. Wanaume kama mlikuwa hamlijui hili naomba mlifahamu kwamba, sisi wanawake mpaka unamkubali mwanaume huwa umeona kwamba huyu mtu ni safi kiasi fulani, sasa anapokutenda ndo inakupeleka kujiuliza maswali mengi. Kuna mmoja alinichekesha kwa kuniambia yeye huwa anatamani kujionja hili aone kama yeye ni mchungu kiasi hicho. Jamani nilicheka mpaka basi. Nikamwambia itabidi amwambie huyo jamaa kwamba amwambie huwa anasikiaje akiwa naye maana kwa yeye kujionja haiwezekani.
 
Sometimes ufundi nao tatizo....! Unaweza kumuona demu bomba kishenzi, ukifunua sahani unakuta chakula chabaridi halafu hajui ufundi! Kwa hivyo unazuga tu na kuanza kuimba "this country bwana is very poor"

Hapo inakuwa bye bye tena!

kwi kwi kwi the underlined is very true lol :becky::becky::becky::becky::becky:
 
Safina ; ost yako ni nzuri na nimeimiss post iliyoelezea kwa uhalisia jinsi mnayojisikia naman hii lakini jielezeeni wenyewe kwanza ; ni kwanini wengi wenu wanjenga utegemezi hata bila sababu; unakuta wengine mnao uwezo kabisa lakini kwa kuwa kidume nipo then I have to foot the bill; literally I hmust take care of everything; jichunguzeni kwanza ninyi wapi mnakosea na mkirekebisha then matatizo yatapungua!
 
ambassador hata mpewe vipi bado mtakuwa na visingizio.....wanaume sijui mmeumbwaje? Nyie watu mna roho za ajabu sana mnageuza wanawake ni chombo cha matumizi sijui kwa nini?

siyo chombo cha matumizi bali ni chombo cha matanuzi
 
Wanawake wananishangaza kabisa! Kwanza wanajiuza wenyewe, alafu mwisho wanataka tukae na huyo mmoja!! That is crazy! Na hata mkijaribu kubana vipi, kuna an equal substitute inaliyo tayari kutoa...kwa hiyo ngoma draw!
 
Wanawake wananishangaza kabisa! Kwanza wanajiuza wenyewe, alafu mwisho wanataka tukae na huyo mmoja!! That is crazy! Na hata mkijaribu kubana vipi, kuna an equal substitute inaliyo tayari kutoa...kwa hiyo ngoma draw!

Sijakuelewa hapa mazima!
 
wenyewe nao wana makosa unakuta mtu hatahamjazoena vizuri mizanga ya hela nzito nzito inaanza lazima men aingie mitini
 
Kuna mwingine hutumii hata sent yake, unamtreat kama king, utakachokipata kutoka kwake ni dharau, kejeli na maringo ya kufa mtu
 
Eeeh bwana iyo kitu ata mimi nlishawai kuifanya sabb kubwa wajua nini,mi nlimtokea mtt akazingua ile kinoma siku ya siku kaingia line'of couse reseption ilikua nzuri, ndo maana ikanivutia,ila baada ya kuingia kwenye huo uwnja wa fundi seremala,mama yangu nlitamani kukimbia papa mtupu oga oga oga nawewe wapi ngoma inatema mpaka nje,sasa katika hali kama iyo mtu awezi kurudi ata kidogo,mtt wa watu anaangaika kupiga cm kila mara mimi wapi,nikiikumbuka iyo cku wala simhitaji tena///////WADAU MMEIONA IYO KAMA NI WW??
 
Ni kweli lakini hili si jipya. Kwa umri wake ilitakiwa muwe na majibu kwa nini wanaume wanateleza
 
unaokota MNAZI chini ya mti wa MDODO?? jiulize kabla ya kuokota
 
kwani umechukua muda gani b4 kumpa?
mchunguze fresh b4 aujampa not less than 6mth closely.............yan utajua tu km uyu ni one touch au wa kuhang naye japo kdg....km si kindoa apo badaye
-usikiurupuke kutoa.......km slang ilikuwa kakutokea ijumaa then jumamos ukampa wat do u expect?
na wengneo afta kumpa waanza virungu ooh mimi jamani nmepungukiwa m2 ya .....jaman nataka laki 6...ahhhhhh ata km mimi mwanaume nasepa imediately!!!
wat 2do:
-jiheshimu
-dnt act like goldga
-take tym b4 aujampa

APO KDG ITAPUNGUZA KUGUSWA NA KUACHWA
vce vesa na apo ni utafunuliwa na kufunikwa km sahani ya bakhresa.
wape pole mashost ao.
NAWASILISHA


Hamna hiyo kitu!. Kujiheshimu siyo kutoachia mambo. Kuna mazee matalamu ya kuimbisha, usipime. Hata ukiwa smart vipi utaingia mjengoni tu. Baada ya kupata zali, kama mdau alivyosema hapo juu, mara nyingi tunaingia mitini kwa sababu ya costs. Utaanza mlolongo mkubwa sana wa bill; viatu. chain, credit ya simu, nk. Pia mara ingine sababu ya kulala mbele huwa ni tastes. Kile ulichotegemea sicho ulichopata. Unakuta mwanamke yupo yupo tu, ili mradi ana jina la mwanamke. Havutii kabisa kwenye kitendo na unaamua kumpiga chini immediately.
 
Inachekesha sana , kama ndo hivyo inapaswa wanyimwe au wazungushwe mpaka wakate tamaa :A S 112:
I wish mambo yangelikuwa hivyo....siku hizi mbona watoto wa kike ndio wako moto kuliko wa kiume? Kugawa sio issue kama tunavyoielezea hapa.
 
pole mwaya,

ukifanya mapenzi,furahia tu,
usiweke expectations nyingi...

kama mwanaume hajapenda kitumbua chako mwache asonge,yupo atakayependa!!!
yupo pia atakeyeona kukughramia nyumba,saloon na vocha za simu sio mzigo...

kama wanawake wanavyokuja na different haiba/tabia,sizes na different vitumbua/taste...,
ndio hivyo hivyo pia wanaume wanavyokuja na different sizes/tabia..different 'muhogos'...

usipoteze muda na mtu unayemuona hamu-match,sababu utakuwa unajizibia nafasi ya kukutana na mtu unaye-match naye...:love:
 
Back
Top Bottom