Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Hamjashtuka tu Pakawa? Ndo maana nasema muwang'ang'anie mpaka wakikaa wanawaza kurudi! Vinginevyo wanyime kama mnajiona kutumiwa. Kumbuka wanawake ni wachache kuliko wanaume, wanaume wengine wanatekeleza jukumu la kusambaza huduma ili hao wanawake wasipitwe!Ambassador hata mpewe vipi bado mtakuwa na visingizio.....wanaume sijui mmeumbwaje? Nyie watu mna roho za ajabu sana mnageuza wanawake ni chombo cha matumizi sijui kwa nini?