Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,920
Je dada,unaweza kukadiria wanaume ambao ushakuwa nao kabla ya kuolewa?Mi nina gf hapa nataka niweke ndani.Mmmhhh Nata usinitafutie ugomvi na wanaume wa humu Tanzania nzima mmmhh hapana kwa wale niliowahi kukutana nao sikusema idadi ya watz wote. Labda niongeze tu nimewahi kutana na makabila tofauti sijafanikiwa kuona