NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Leo hasubuhi nimesikia wanaume wa Tanzania wameanza kutairiwa ili kupunguza maambukizi ya ukimwi.
Hii campaign ni nzuri na ingekuwa vyema kama ingeanzia bungeni kama kwa wakenya ili kuwa hamasa zaidi na kutangazika kirahisi.
Kwa idadi niliyosikia kuwa imejitokeza kutairiwa, inanipa picha kuwa watanzania wengi hawajapata hii kitu.....
Je nimikoa gani hapa Tanzania ambayo hawafanyi hii kitu?
Hii campaign ni nzuri na ingekuwa vyema kama ingeanzia bungeni kama kwa wakenya ili kuwa hamasa zaidi na kutangazika kirahisi.
Kwa idadi niliyosikia kuwa imejitokeza kutairiwa, inanipa picha kuwa watanzania wengi hawajapata hii kitu.....
Je nimikoa gani hapa Tanzania ambayo hawafanyi hii kitu?