Malezi dadangu
nitayainua macho yangu nitazame milima...
Hivi kwanini wenzetu nyie si wepesi hata kidogo wa kukiri makosa yenu na kuomba msamaha? Kwanini mara nyingi huwa mnatafuta means ya kujusfty makosa kuliko kuomba msamaha? je ni ubabe ama ni aibu ama mnahisi kufanya hivyo ni kujishusha hadhi yani kutoka kuwa mwanaume na kuwa mtu mwingine?
je na kwa wale mnaokiri na kuwaangukia wake zenu kwa samahani, je wake zenu wamewahi kubadili heshima yenu ama hata kukudharau?
leo akina mama tukae tuwatupie maswali kwa kila hoja watakazo leta hadi tujue nini ni nini.
nawasilisha.
Unamwaminia eh? So do i hata kama samtym tunakinzana.
ni kwa sababu ya ubabe na kutokujali hisia za wenzetu,malezi ya kijinga yanayotujenga tujihisi ni watawala.
mwaya nimerudi ila leo nataka hawa wakaka wa humu jf watuambie manake jamani hatuwaelewi. ama sijui wenzetu ni malaika.
sasa kwanini mnapenda kuonea wanawake?
aisee! you are lucky ila kuna wanaume ni wabish wasamahan na wengine wanadai eti kuish na mwanamke mgomvi ni bora uish kwenye paa. yaani men .................goja waje niwaskie hapa.
do you think kwamba kuomba samahani ni kugalagaza p yako kwa mkeo? je unaamini hivyo? na je kupi kunakongeza p kukubali makosa kisha kuyarekebisha na kuomba samahan ama kutokubali kuomba samahani wakati iko wazi kabisa kwamba umekosea?
Kuna sababu mbili kubwa. Kwanza, we do realy care. You cant mend someone's broken heart kwa samahani ya juujuu tu, in fact you will end up breaking it more. Ndio maana, mwanamume anapoomba msamaha ujue kuwa it has come from the heart kwelikweli. Pili, always kuna njia nyingine za kuyamaliza hayo, hivyo si vema kutoa samahani ya bandia kwa sababu ina madhara makubwa huko mbele ya safariso mbona nyie hata hiyo ya mjadala uishe hamna?
wanaume sio wenzetu, wanaume ni kambi pinzanihao hao ma dia wanaume.
wanaume wa jf mko wapi? tunawasubiri mtusaidie kwa nini samahani inakuwa ngumu kana jiwe?
ila mie naweza sema nina bahati naombwa msamaha pale anapokosea lol
wanaumee were r u?
Binafsi siamini hivyo na ndo maana nimesema ni perception tu. Kwahiyo ushauri wangu kwa wanawake ni kwamba usilione hili kama shida sana kwani ni perception ya wanaume wengi tu (masculinity belief). Hata mimi nakumbuka before ilikuwa ngumu sana kutamka neno samahani kwa mke wangu, nilikuwa naona kama linakwama kwama vile kutoka kichwani mwangu, loh! Lakini natambua ilikuwa ni kwa sababu ya mtizamo huu wa wanaume wengi