Ni jambo la kawaida kwa mtu anaefanya jambo mara nyingi au muda mrefu anakuwa mtaalamu wa lile jambo hivyo anakuwa na uwezo mkubwa wa kulinogesha hilo jambo atakapolitenda.
Chakushangaza wengi wetu wanaume hupendelea zaidi kufwatilia wale wanawake ambao ndio kwanza wanajiingiza katika mchezo wa mapenzi kuliko wale walikuwa muda mrefu kwenye huo mchezo. Huwa tunatowa msururu wa sifa tukianzia na bikira , mnato, chuchu zilizosimama na sifa nyengine tele.
Swali langu lipo hapa; Jee wenzetu wanawake huwa mnapendelea wanaume wepi kati ya wale waliowazoefu au wale wanaoanza kujingiza sasa kwenye huo mchezo?
Chakushangaza wengi wetu wanaume hupendelea zaidi kufwatilia wale wanawake ambao ndio kwanza wanajiingiza katika mchezo wa mapenzi kuliko wale walikuwa muda mrefu kwenye huo mchezo. Huwa tunatowa msururu wa sifa tukianzia na bikira , mnato, chuchu zilizosimama na sifa nyengine tele.
Swali langu lipo hapa; Jee wenzetu wanawake huwa mnapendelea wanaume wepi kati ya wale waliowazoefu au wale wanaoanza kujingiza sasa kwenye huo mchezo?