FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #61
FirstLady,Sasa nikupe ushauri wa bure, kutomea nje ya ndoa kumekuwepo tangu zama hizo. Usikonde wala kuomba talaka kaka akitomea nje, kwani anafanya nini?? ila asikuonyeshe na wala usijue na wewe usimfuatilie maana ukichunguza kuku hautamula. (Tunaogopa ngoma kwa sasa kila mtu amemetulia na wake basiiiiii!)
hapana sio mie bwana Fugwe ila nimeuliza tu swali