Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Hayo majitu hayaeleweki utaumiza kichwa buree!
ningekuwa huyo kaka, natupa kule. aende kuolewa na mkurya!!
mwanaume asipokuwa kiume huwa namdharau.....wanawake tunapenda madume wa kiume....
kuwa na magarz wengi ni ufalla tu wala sio ujanja.
Viumbe waliokuja kwa huruma za wanaume wanatabu sana
Viumbe waliokuja kwa huruma za wanaume wanatabu sana
Kweli nimeamini kuwa kunguru hafugiki............ yaani unampata mtu wa kukusikiliza bado inakuwa taabu tena!!!!!!!!!!
duh............... hii kali.
Ila uwe makini na huyo dada inawezekana anatengeneza huo udhaifu kama njia ya kukufanya mrudiane nae, si unajua tena huwa hawawezi kusema live!!!!!!! (Ni mtazamo wangu tu)
Kimsingi hufai kuwa mshauri/rafiki kwa sababu wewe ni Mzinzi na Muasherati na mwanamke ni hawara yako kama ulivyokiri utawapotosha na kuingilia mipango kwa uchochezi !Nimekuwa namshauri mambo mengi... na katika hili siku zote namshauri asimdharau wala asiwaze kumuacha jamaa, eti kwa sababu ni mpole...
Hii ni kama moja ya hadithi za yule Bibi wa TBC1 anayehadithia watoto wa primary schools au ndio ushauri wako unaompa m.k.w.e.r.e ndipo anautumia kuongoza nchi! Duh! Too low and very sad for matured intellectuals!Kuna jamaa walikuwa wakipiga soga kijiweni,kila mmoja akawa anajisifu kuwa mkewe hamwambii kitu anatembeza mkong'oto kwa sana.Basi mmojawapo alikuwa hapindui kwa mkewe,alivyotoka pale baada ya kupata somo jinsi ya kumdhibiti mke akaelekea nyumbani,ile anaingia tu mke kaanza kuwaka kisa kachelewa kurudi.Jamaa hakumkawiza akampa kisago cha nguvu,mke akafungasha akasepa.Basi jamaa akatoka ili aende nyumbani kwa jamaa akamwadithie alivyomtia mke,ile anaingia akamkuta mshikaji anaosha vyombo huku anaangalia maharage yasiungue wakati huo mkewe anasoma gazeti la udaku na kuchat.Jamaa aliyemtwanga mkewe akamuuliza vp tena?si ulisema ww hufanyi huu upuuzi?jamaa akamwambia yale ni maneno ya kijiweni huku akiingia ndani kumletea mkewe maji ya kunywa.(akili za kuambiwa changanya na zako)
Girls love bad boys....you didn't know this. Mwanaume mpole ni boring...
Kwa kukubali kusinzia na hatimaye kunyofolewa ubavu wake mmoja!Umenitatiza kidogo na hii coment yako.Kivip mwanaume alionyesha huruma hlf mwanamke akaja?
Kimsingi hufai kuwa mshauri/rafiki kwa sababu wewe ni Mzinzi na Muasherati na mwanamke ni hawara yako kama ulivyokiri utawapotosha na kuingilia mipango kwa uchochezi !
Sure, although not always... Some men are very minute, yet very aggressive, and they win lot of beautiful galzMasculine (synonyms Male sex) - possessing qualities or characteristics considered typical of or appropriate to a man, originate from the word 'Muscle'...Msuli!
Man = Msuli....just thinking aloud! Preta yuko sawa....no msuli = no man! Why do you think strong muscular men who hit the gym are considered 'sexy'!?
Huyo demu atakuwa ni Mkurya lazima,hawa si ndo wale hajapigwa anaona hajapendwa?