Mpangamji
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 540
- 140
sasa huyu dada anafanya makosa ili akoromewe??
Kweli punda haendi bila fimbo.
Si yeye tu, chunguza vizuri utagundua ukweli, wao hufikiri kuwa usipomkoromea hauna future nae, akili yao imeelekezwa hivyo, usipoangalia unaweza kuta anakutuma maji ya kunywa, "Dear naomba uniletee maji ya kunywa nimechoka sana". Ukimletea utakuwa umemkwaza sana, mwambie hivyi humu ndani wanaume tumekuwa wangapi, acha mambo yako ya ajabu hebu nyanyua makalio ukalete, utaona anacheka, na kunyanyuka na kuleta maji, comments utakayosikia baada ya hapo, yaani nyinyi wanaume hampendi kabisa tuwatume. (hilo neno nyinyi wanaume!!!) kwa nini asiseme yaani wewe mpenzi wangu/mme wangu hupendi kabisa nikutume, anatuma general kwa kuwa wao wanafahamu tayari kuwa wanaume hawapendi kutumwa,