mimi nafanya kazi ngumu natafuta pesa siku 30 af nikipata tunatumia kwa siku moja
SWALI KWA WANAUME:
Je ni wangapi humu JF mnaoweza kufanya kazi ngumu kama ya kufyatua tofali za block,kubeba zege,kupasua mawe NK. halaf hela jion mkahonge kwa dada poa au mademu zenu?
kwani wale wa mererani hawaongi?we unaona kufyatua tofali ni kazi ngumu?umekulia masaki nini?hata kuvunja biscuti unamwita dada wa kazi?
Matumizi yako hayo kwani kuna shida gani?
Mbona tupo sana.........tunalima vitunguu........tunapeleka Kenya........tunauza........tunarudi kula bata na warembo..........
kwani kuna shida gani............
Najivunia kuzaliwa wa kike