Wanaume na wanawake wa siku hizi sio

Al-shabaab

JF-Expert Member
Aug 24, 2013
1,791
617
Habarini wana MMU,

Kumekua na wimbi la kutupiana lawama kati ya wanaume na wanawake kwa kila mmoja kumlalamikia mwenzie kwenye mahusiano ya kimapenzi mpaka ndoa pia mfano wanaume wanalaumu wanawake wa siku hizi sio kabisa, wauaji mashetani hawafai kabisa.

Pia wanawake hivyo hivyo wanaume wa siku hizi sio kabisa. Wauaji mashetani hawafai kabisa.Nini hasa kinasababisha kurushiana lawama hivi kiasi kwamba imejengeka mentality ya fallacy of generalizatio kwa wanaume na wanawake wote.Je ni usaliti kuwa mwingi, uongo, vibuti kwa sana. Maendeleo.
 
chanzo SIMU ZA MITANDAO & LAPTOP!! kw bahat nzur / mbaya ck hz ma ofa ya kujiunga meng kwel kwa pesa ndogo..... unakuta mnamiadi na mtu ata ya biashar kasheshe mkikutana kila mtu kainama utazan wanaOmboleza kumbe mitandao sasa sembuse huko kw wapenzi??? hasa hasa wakumbatiao laptop ni hatar sana.
 
Habarini wana MMU.

kumekua na wimbi la kutupiana lawama kati ya wanaume na wanawake kwa kila mmoja kumlalamikia mwenzie kwenye mahusiano ya kimapenzi mpaka ndoa pia.
mfano WANAUME wanalaumu wanawake wa siku hizi sio kabisa, wauaji mashetani hawafai kabisa.
Pia
WANAWAKE hivyo hivyo wanaume wa siku hizi sio kabisa. Wauaji mashetani hawafai kabisa.

nini hasa kinasababisha kurushiana lawama hivi kiasi kwamba imejengeka mentality ya fallacy of generalizatio kwa wanaume na wanawake wote.
je ni usaliti kuwa mwingi, uongo, vibuti kwa sana. Maendel
Kama huna pesa utatupiwa lawama zooote na mwisho wa siku utakaziwa demu wako,lakini kama una pesa hayo maneno yako yoote uliosema yatakua NULL AND VOID au vipi?,tafuta pesa acha ngonjera,maanti ni bure ukiwa napesa,mtoto anataka matunzo aishi POSH,sio pesa zako za mawazo mpaka ungoje mshahara.PESA SILAHA BASTOLA MZIGO.
 
Habarini wana MMU.

kumekua na wimbi la kutupiana lawama kati ya wanaume na wanawake kwa kila mmoja kumlalamikia mwenzie kwenye mahusiano ya kimapenzi mpaka ndoa pia.
mfano WANAUME wanalaumu wanawake wa siku hizi sio kabisa, wauaji mashetani hawafai kabisa.
Pia
WANAWAKE hivyo hivyo wanaume wa siku hizi sio kabisa. Wauaji mashetani hawafai kabisa.

nini hasa kinasababisha kurushiana lawama hivi kiasi kwamba imejengeka mentality ya fallacy of generalizatio kwa wanaume na wanawake wote.
je ni usaliti kuwa mwingi, uongo, vibuti kwa sana. Maendel
Alshabab tuliza bongo,chora mchongo piga deal tengeneza pesa,mbona channel kibao tu,utabamba watoto kama kusukuma mlevi,watajilengesha mpaka uwakimbie coz wanachotaka MATUNZO ya bei mbaya sio shopping mbuzi,inatakiwa mtoto avae desiner things kuanzia nguo, viatu,designer handbags eg Prada,Channel,Gucci,Jimmy Choo,chupi Lacenza na akivaa mara moja inatupwa na harudii na anabadili 4 times a day,viatu si chini ya pairs 100,handbags 50.Kumbuka ana magari makali saana top of the range fully loaded na ana dereva wa kumuendesha coz yeye akiendesha nguo zitajikunja.
 
huu ndo mwisho Wa ulimwengu.Bila kukiri that tunamkosea Mwenyez Mungu bas tumekwisha na tutalalama sana.Tatizo siku hiz binadamu twajifanya wajuaji kuliko Mungu.
 
chanzo SIMU ZA MITANDAO & LAPTOP!! kw bahat nzur / mbaya ck hz ma ofa ya kujiunga meng kwel kwa pesa ndogo..... unakuta mnamiadi na mtu ata ya biashar kasheshe mkikutana kila mtu kainama utazan wanaOmboleza kumbe mitandao sasa sembuse huko kw wapenzi??? hasa hasa wakumbatiao laptop ni hatar sana.


kwa hiyo sayansi na teknolojia inachangia sana haya mambo
 
Kama huna pesa utatupiwa lawama zooote na mwisho wa siku utakaziwa demu wako,lakini kama una pesa hayo maneno yako yoote uliosema yatakua NULL AND VOID au vipi?,tafuta pesa acha ngonjera,maanti ni bure ukiwa napesa,mtoto anataka matunzo aishi POSH,sio pesa zako za mawazo mpaka ungoje mshahara.PESA SILAHA BASTOLA MZIGO.
Pesa sio solution kwa 100%, wapo wenye pesa wengi tu wanakaziwa wake na madem zao na pia pamoja na pesa zao wana stress kibao za kindoa na kimahusiano.

Wanawake kamwe hawaeleweki.
 
Pesa sio solution kwa 100%, wapo wenye pesa wengi tu wanakaziwa wake na madem zao na pia pamoja na pesa zao wana stress kibao za kindoa na kimahusiano.

Wanawake kamwe hawaeleweki.
Katika pesa ndio kilakitu,lakini kumbuka kwamba ukiwa na mapesa mengi na ukawa ZOBA,basi kukaziwa ni kama kawa,kwa hiyo uwe na pesa na usiwe ZOBA AU VIPI?
 
Shida ni kwamba siku hizi kuna uhaba wa mapenzi ya dhati/kweli. Wengi wanafikiri kuwa wanapendana lakini kiuhalisia ni kwamba kilicho-motivate hiyo union ni material things. Hapo hapawezi kuwa na uimara wa kimahusiano/kimapenzi. All full of lies and faking kwa pande zote !! Mmoja akiwa kakolea kikweli kweli basi utakuta mwenzie anakuwa ni majanga tu.

Ni wazi kuwa zipo couples ambazo ziko real na genuine to each other, japo upungufu wa kibinaadamu haukosekani. Hizi zinakuwa zimejengwa na nguzo za msingi za kimahusiano mbali na material things which should normally be a bonus (courtesy of Heaven Sent)

Hata hivyo kuna suala lingine muhimu la dini. Imani zina-shape mahusiano yenyewe na matokeo yake. Watu wengi siku hizi wako bize kuhangaikia maisha. Dini haziko tena katikati ya mambo yetu, isipokuwa kwa baadhi ya watu.

Hatuwezi ku-ignore nafasi ya dini na upendo wa dhati (ambao lazima uwe mutual/reciprocated) katika matendo, maamuzi na maisha yetu kwa ujumla halafu tutarajie utengamano, furaha na mafanikio katika mahusiano au maisha. Nope !!

Kingine ninachokiona kuwa ni tatizo kubwa katika relationships ni kwamba watu (both men and women) hawana ujasiri wa kuchukua responsibility ya matendo yao. Mtu anaweza akosee ndani ya mahusiano lkn badala ya kukiri kosa haraka na kuonyesha kujutia kosa hilo na kwamba hatarudia tena, yeye ataleta utetezi usio na kichwa wala miguu.

Uongo, ujuaji, kiburi na ubabe mwingi...vimetamalaki.

Haya yote yameendelea kuleta msuguano mkubwa na hatimaye kujeruhi mahusiano to the extent kwamba mara nyingine ni beyond repairable level.
 
Shida ni kwamba siku hizi kuna uhaba wa mapenzi ya dhati/kweli. Wengi wanafikiri kuwa wanapendana lakini kiuhalisia ni kwamba kilicho-motivate hiyo union ni material things. Hapo hapawezi kuwa na uimara wa kimahusiano/kimapenzi. All full of lies and faking kwa pande zote !! Mmoja akiwa kakolea kikweli kweli basi utakuta mwenzie anakuwa ni majanga tu.

Ni wazi kuwa zipo couples ambazo ziko real na genuine to each other, japo upungufu wa kibinaadamu haukosekani. Hizi zinakuwa zimejengwa na nguzo za msingi za kimahusiano mbali na material things which should normally be a bonus (courtesy of Heaven Sent)

Hata hivyo kuna suala lingine muhimu la dini. Imani zina-shape mahusiano yenyewe na matokeo yake. Watu wengi siku hizi wako bize kuhangaikia maisha. Dini haziko tena katikati ya mambo yetu, isipokuwa kwa baadhi ya watu.

Hatuwezi ku-ignore nafasi ya dini na upendo wa dhati (ambao lazima uwe mutual/reciprocated) katika matendo, maamuzi na maisha yetu kwa ujumla halafu tutarajie utengamano, furaha na mafanikio katika mahusiano au maisha. Nope !!

Kingine ninachokiona kuwa ni tatizo kubwa katika relationships ni kwamba watu (both men and women) hawana ujasiri wa kuchukua responsibility ya matendo yao. Mtu anaweza akosee ndani ya mahusiano lkn badala ya kukiri kosa haraka na kuonyesha kujutia kosa hilo na kwamba hatarudia tena, yeye ataleta utetezi usio na kichwa wala miguu.

Uongo, ujuaji, kiburi na ubabe mwingi...vimetamalaki.

Haya yote yameendelea kuleta msuguano mkubwa na hatimaye kujeruhi mahusiano to the extent kwamba mara nyingine ni beyond repairable level.

nikuomba Mungu tu waweza mpenda mtu real akakufanyia maigizo Joti ana afadhali kila kukicha anakuja na segment mpya! watu wanaishi maisha yakufikirika na kuamini wao wako perfect nakuhitaji mpenzi kama malaika ukikosea jambo dogo utajuta!

nimeelekeza mapenzi kusaidia jamii zaidi
 
nikuomba Mungu tu waweza mpenda mtu real akakufanyia maigizo Joti ana afadhali kila kukicha anakuja na segment mpya! watu wanaishi maisha yakufikirika na kuamini wao wako perfect nakuhitaji mpenzi kama malaika ukikosea jambo dogo utajuta!

nimeelekeza mapenzi kusaidia jamii zaidi

Nakubaliana na wewe. Nimependa jinsi ulivyoamua kuelekeza energy yako. Kudos! Inapunguza uwezekano wa kuumizwa na mapenzi. Kila la kher mkuu
 
Shida ni kwamba siku hizi kuna uhaba wa mapenzi ya dhati/kweli. Wengi wanafikiri kuwa wanapendana lakini kiuhalisia ni kwamba kilicho-motivate hiyo union ni material things. Hapo hapawezi kuwa na uimara wa kimahusiano/kimapenzi. All full of lies and faking kwa pande zote !! Mmoja akiwa kakolea kikweli kweli basi utakuta mwenzie anakuwa ni majanga tu.

Ni wazi kuwa zipo couples ambazo ziko real na genuine to each other, japo upungufu wa kibinaadamu haukosekani. Hizi zinakuwa zimejengwa na nguzo za msingi za kimahusiano mbali na material things which should normally be a bonus (courtesy of Heaven Sent)

Hata hivyo kuna suala lingine muhimu la dini. Imani zina-shape mahusiano yenyewe na matokeo yake. Watu wengi siku hizi wako bize kuhangaikia maisha. Dini haziko tena katikati ya mambo yetu, isipokuwa kwa baadhi ya watu.

Hatuwezi ku-ignore nafasi ya dini na upendo wa dhati (ambao lazima uwe mutual/reciprocated) katika matendo, maamuzi na maisha yetu kwa ujumla halafu tutarajie utengamano, furaha na mafanikio katika mahusiano au maisha. Nope !!

Kingine ninachokiona kuwa ni tatizo kubwa katika relationships ni kwamba watu (both men and women) hawana ujasiri wa kuchukua responsibility ya matendo yao. Mtu anaweza akosee ndani ya mahusiano lkn badala ya kukiri kosa haraka na kuonyesha kujutia kosa hilo na kwamba hatarudia tena, yeye ataleta utetezi usio na kichwa wala miguu.

Uongo, ujuaji, kiburi na ubabe mwingi...vimetamalaki.

Haya yote yameendelea kuleta msuguano mkubwa na hatimaye kujeruhi mahusiano to the extent kwamba mara nyingine ni beyond repairable level.
Thank youuu
 
5c53ed2225cc95f48a4a891e1be1d6d8.jpg
 
Back
Top Bottom