Wanaume na suala la kuhonga

Fanyeni kazi mjihudumie,

Nimegundua ukiachana na viongozi wasio na weredi kundi lingine linalosababisha kama nchi hatupigi hatua ni wanawake. Wanapenda vya kupewa kuliko kufanya kazi na kupata wanyohitaji kwa juhudi zao.

Wanawake wengi wanawaza kuishi nyumba nzuri, awe na gari nzuri, Simu nzuri, mavazi ya gharama n.k. Ila vyote hivyo anadhani atavipata kwa mwanaume, wengi hawana plan yoyote ya kupata hayo mahitaji kutoka kwenye juhudi zao, wanasubiri wahongwe.

Pesa ya mwanaume inamajukumu mengi sana, basi hiyo yakwenu ambayo haifahamiki inafanyaga nini muitumie kujitunza, ununue Simu yako, mavazi yako n.k ili mwanaume afanye vitu vya msingi
mwanamke ni akili, kama anawaza kuvaa na sim kali hatabukioa huyo lazima akigawe kwa boda boda mzoa taka the list goes on, kwa sababu kuna siku utakosa na yeye anataka amantain status yake ndio atawaza tu kukitoa
 
Unajisumbua na hizi fake ID's za baadhi ya wanawake kuwa wanaume na vice versa.

Unajisumbua na kataa ndoa ambao tayari wana ndoa ila kucha kutwa kupiga kampeni humu.

team chaputa wanaongoza kula mbususu.

Huku mtaani tunatoa hela vizuri tu ila tatizo n humi, za kuambiwa changanya na zako.

Mzunguko wa maisha ni ule ule
majority ya humi n fuata mkumbo kwamba kipi kina trend wanaenda nacho wakat kiuhalisia hawako hivyo
 

Attachments

  • 20230731_084634.jpg
    20230731_084634.jpg
    28 KB · Views: 2
Aloo, hivi unajisikiaje kuto kumspoil mpenzi wako au mkeo? yaani mmeona ni big deal kumhonga mkeo mpenzi wako? sawa anafanya kazi sasa kumsapoti kiasi nayo ni vita? wanaume wabahili wa JF mnachekesha sana, mimi nafanya kazi na hela yangu inatumika na sote wawili, kilichopungua baada ya yeye kuongeza ni jukumu langu kuchangia tunasaidiana maisha yaende.

Wanawake na wasichana wenzangu tafuteni kazi muepuke haya mashambulizi, japo nashangaa bado yaani kuninunulia dozen ya chupi kuhudumia sehem inyokutoa stress nako ni mbinde? wanaume wabahili kutoa ni moyo sio utajiri no wonder mnsalitiwa unamvumilia mtu unajua hana siku akipata pia hajiongezi usimpe kikubwa hata kidogo inaongeza credit fulani kwamba unajali nyie mnadhani kujali ni kunitelezeshea tu mtinyama wako? kama tunavyoshirikiana kitandani basi kwa ustawi wa uchumi wa penzi na ndoa yetu iwe hivohivo, mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.
Hamna mwanamme hasiye penda kumpatia mahitaji ya MSINGI mpenzi wake na kama wapo ni wachache sana.

Tatizo nyinyi siku hizi mizinga yenu haina uhalisia ( SI VYA MSINGI) na hamjua kuomba bali MNATAKA,mnataka simu kali,nguo za brand kubwa,bado kuna bundle,kila sherehe unataka nguo mpya na hapo bado hujaweka VIKOBA,MICHEZO MAJINA MATATU na MIKOPO,yote mnataka ilipwe kupitia hela ya mwanaume.

Kuna wengine wana kazi,mikopo,vikoba,michezo ila hela wanazopata hata wao wenyewe hawajui zinaishiaga wapi.Ndio maana wengi mnatumika sana kingono na wengine hata hisia za mapenzi hamna mnaangalia mwanaume mwenye hela.
 
mwanamke ni akili, kama anawaza kuvaa na sim kali hatabukioa huyo lazima akigawe kwa boda boda mzoa taka the list goes on, kwa sababu kuna siku utakosa na yeye anataka amantain status yake ndio atawaza tu kukitoa
Wanawake wenye akili nchi hii ambao hawaamini katika kuhongwa hawafiki hata Milioni 2.

Waliobaki wote ni wajinga wanaodhani maisha mazuri yanapatikana kwa kuhongwa na wanaume.
 
Hamna mwanamme hasiye penda kumpatia mahitaji ya MSINGI mpenzi wake na kama wapo ni wachache sana.

Tatizo nyinyi siku hizi mizinga yenu haina uhalisia na hamjua kuomba bali MNATAKA,mnataka simu kali,nguo za brand kubwa,bado kuna bundle,kila sherehe unataka nguo mpya na hapo bado hujaweka VIKOBA,MICHEZO MAJINA MATATU na MIKOPO,yote mnataka ilipwe kupitia hela ya mwanaume.

Kuna wengine wana kazi,mikopo,vikoba,michezo ila hela wanazopata hata wao wenyewe hawajui zinaishiaga wapi.
unajua kama mwanamke lazima ajifunze kuridhika, apende mahitaj kulingana na uwezo waliokua nao, sasa mume hana uwezo utamwambia akununulie gar wakat huku ana pikipiki? huu n ujinga wanawake wa hivi ndio hutuponzea sisi wote
 
Wanawake wenye akili nchi hii ambao hawaamini katika kuhongwa hawafiki hata Milioni 2.

Waliobaki wote ni wajinga wanaodhani maisha mazuri yanapatikana kwa kuhongwa na wanaume.
na ndio hao wanaotuponza mpaka tunawekwa kundi moja
 
Pale hata jogoo tu wa kuku alipowashinda. Maana jogoo hutafuta akajipendekeza kwa jike, na jike ataamua ama abonyee ama la ili jogoo aendelee kutafuta funza mzr zaidi mpaka jike akubali. Yaani hata wanyama wamebaki na taratibu za kimaumbile zinazoimarisha mahusiano. Pole zao wana, Mungu tu awasaidie.
Aloo, hivi unajisikiaje kuto kumspoil mpenzi wako au mkeo? yaani mmeona ni big deal kumhonga mkeo mpenzi wako? sawa anafanya kazi sasa kumsapoti kiasi nayo ni vita? wanaume wabahili wa JF mnachekesha sana, mimi nafanya kazi na hela yangu inatumika na sote wawili, kilichopungua baada ya yeye kuongeza ni jukumu langu kuchangia tunasaidiana maisha yaende.

Wanawake na wasichana wenzangu tafuteni kazi muepuke haya mashambulizi, japo nashangaa bado yaani kuninunulia dozen ya chupi kuhudumia sehem inyokutoa stress nako ni mbinde? wanaume wabahili kutoa ni moyo sio utajiri no wonder mnsalitiwa unamvumilia mtu unajua hana siku akipata pia hajiongezi usimpe kikubwa hata kidogo inaongeza credit fulani kwamba unajali nyie mnadhani kujali ni kunitelezeshea tu mtinyama wako? kama tunavyoshirikiana kitandani basi kwa ustawi wa uchumi wa penzi na ndoa yetu iwe hivohivo, mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.
 
Ni Africa pekee ambapo mwanamke anatarajia kupewa yeye tu na mwanaume. Ni Africa pekee ambapo mwanamke anahisi kupata mwanaume ni mithili ya kupata ajira ya kudumu na kuwa matatizo yake yote yamefika ukomo. Ni Africa pekee ambapo kipimo cha upendo wa mwanaume kwa mwanamke ni kiaisi cha pesa anachopewa na mwanaume huyo.

Ifikie wakati wanawake watambue kuwa mapenzi sio ajira, ni hisia tu baina ya watu wawili. Na watambue pia kuwa uchi sio kitega uchumi ni kiungo cha mwili kilichoumbwa sababu ya kujamiiana na kuzaliana.
 
unajua kama mwanamke lazima ajifunze kuridhika, apende mahitaj kulingana na uwezo waliokua nao, sasa mume hana uwezo utamwambia akununulie gar wakat huku ana pikipiki? huu n ujinga wanawake wa hivi ndio hutuponzea sisi wote
Wanawake wengi wenu siku hizi mnaakiri kama za watoto wadogo,kuna mwanamke anataka Sumsung wakati mme wake uwezo wake ni Techno na hapo unakuta huyo mume wake kamkuta anatumia iTel.

Ila wapo wanawake (wachache),wana uwezo wa kuadapt hali za uchumi za wenza wao na hata kusaidia mchango wa MAWAZO tu kuboost hali ya uchumi wa mwenzi wake na wengine hata kutoa msaada kidogo ili kumboost mwenza wake.

Kuna wanawake wengine mwenza wake anapopitia hali mbaya ya kiuchumi ndipo kelele zinaanza,masimango ,manyanyaso,kiburi nk anasahahu hata lile good life alilopewa na mmewe,kwa miaka mingi tu na kumvumilia kwa kumfariji na kumpatia msaada hata wa kimawazo.
 
Pale hata jogoo tu wa kuku alipowashinda. Maana jogoo hutafuta akajipendekeza kwa jike, na jike ataamua ama abonyee ama la ili jogoo aendelee kutafuta funza mzr zaidi mpaka jike akubali. Yaani hata wanyama wamebaki na taratibu za kimaumbile zinazoimarisha mahusiano. Pole zao wana, Mungu tu awasaidie.
mimi ninayojuabkwa uelewa wangu mwanaume ndio kichwa cha familia, lazima apambane kwa ajili ya familia yake, ikitokea mwanaume huyu amepata mke mwenye kazi, mwanamke huyo anatakiwa ajazilize pale ambapo mwanaume ameishilizia siwez kufanya kaz na bado nikataka mwanaume anitimizie mahitaj yote bas ni bora yeye ahudumie wanawe mimi nitajihudumia mwenyewe japo hii roho ni ya kuipinga mnatakiwa kushirikiana pamoja
 
mind you sikubaliani na mwanamke ambae hela yake haionekani hao ndio wabaya watuponzao wote.
Hapa umeongea point kubwa sana ambayo ndo chanzo cha baadhi ya sisi wanaume kuonekana wabahili kwa hawa wanawake wasio offer chochote zaidi ya sex 🤞.
 
Back
Top Bottom