Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
umeona eh! maana kasema ana bwana wa kikenya ndio nataka kujua ni sisi madume ya mbegu ya hapa au ya kule kwa mwenzake?hahaaaaaaaaa umenichekesha Lol
eti mkenya mambo saafi yeye
Nalog off
umeona eh! maana kasema ana bwana wa kikenya ndio nataka kujua ni sisi madume ya mbegu ya hapa au ya kule kwa mwenzake?hahaaaaaaaaa umenichekesha Lol
eti mkenya mambo saafi yeye
Kumbe uko kwa winter, hata km basi badili japo mara 4 kwa wiki masela
wewe kwa kuwa umeshajizoesha ndio maana inakuwa hivyo ila sisi wagumu nywele zenyewe kuota zinajishtukia.
Nalog off
Huku ulaya mazivu yanasaidia kuleta joto. naomba mtuache tulale.
Vipi kwani huo ujumbe umekugusa??? kama na wewe ni miongoni mwao basi samahani... ila usisahau kujisafisha,muhimu sana!!!kakojoe ulale...hakikisha umenyoa hayo mavuzi
NImefanya upekuzi mkuu wanaume wengi ni wavivu wa kunyoa kunako sehemu za sirini, utamkuta nje kaulamba ndani km katani vile
Hii unatwambia sisi Watanzania wenzako au yule bwana wako wa Kikenya?
Nalog off
kwanza pole kwa jamaa yako kuwa hivyo, ujue wanaume wote sio kama huyo wa kwako, nguo ya ndani ni kama hizi za kawaida tunabadilisha kila siku, hivi unawezaje kurudia nguo ya ndani marambili...? hebu kuwa muwazi kwa mwenzio ajitahidi kwa usafi! ikiwa vipi mnunulie nyingine.
Au hebu mpangie hizo mara nne kwa wiki....
Sisi wenye imani za kirastafari haituhusu....JAH BLESS..
Pole kwa yaliyokukuta.
ww dogo wa ndalichako wa ajabu yani unaandika kitu alf punde tu unasahau? uliandika mwanaume avae boxer 10 kwa wiki sasa hapo unazivaa vp? si lzm uwe umekaa hm tu unasubili kubadilisha hiyo boxer? alf mm sio msera pu m b vu wwUna muda wa kuingia kuchat jamii forum afu unaniambia huna muda wa kuoga ubadili boxer? u gotta be joking man! au hiyo profile pic yako huyo mzee ni wewe nini? nunua boxer msela acha kutumia hela jamiiforum afu unalia kuvaa boxer moja kila siku
Ukitukana haulipwi ndugu, haina shida kuniita pu m v vu... nimeamua kurudia kama ulivyoandika, we si ndio mwenye akili dunia nzima, mkuu nilisema angalau 7 ikiwezekana hata kumi, seems u don't understand that statement correctly... Haha! usidhani hayo matusi yatakupeleka sehemu, na niliandika msela sio msera, so probably one of those guys hata lugha mziki!! wasting my time with u man... Grow up, soma au fanya kazi kama ulifeli acha matusi, achieve ur dreams kwanza maana walioachieve hawatukani kijingajinga hivo na sio wachafuww dogo wa ndalichako wa ajabu yani unaandika kitu alf punde tu unasahau? uliandika mwanaume avae boxer 10 kwa wiki sasa hapo unazivaa vp? si lzm uwe umekaa hm tu unasubili kubadilisha hiyo boxer? alf mm sio msera pu m b vu ww
Ukitukana haulipwi ndugu, haina shida kuniita pu m v vu... nimeamua kurudia kama ulivyoandika, we si ndio mwenye akili dunia nzima, mkuu nilisema angalau 7 ikiwezekana hata kumi, seems u don't understand that statement correctly... Haha! usidhani hayo matusi yatakupeleka sehemu, na niliandika msela sio msera, so probably one of those guys hata lugha mziki!! wasting my time with u man... Grow up, soma au fanya kazi kama ulifeli acha matusi, achieve ur dreams kwanza maana walioachieve hawatukani kijingajinga hivo na sio wachafu
Kama mtu mzima anaonyesha mfano gani kwa jamii inayomtazama kutoa matusi njenje? Hawa ndio watu wazima tulionao Tanzania? wadogo wakiwa wabaya tunawalaumu?Duuuh hii ni nourma mtuzima huyo ujue!