co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,415
- 2,141
Hivi wadau kwa hapa Dar es Salaam naweza pata wapi sehemu ambapo wananyoa kwa ustadi nywele hasa za kifuani, kwapani na sehemu za siri.
Mara nyingi nikijinyoa mwenyewe ninatokea kujichana au kujikata.
Tafadhali Wapi naweza kupata huduma ya kunyoa nywele hizo
Mara nyingi nikijinyoa mwenyewe ninatokea kujichana au kujikata.
Tafadhali Wapi naweza kupata huduma ya kunyoa nywele hizo