ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
hahahaha tatizo ukiwz unanimix nikianza kumiksika tu unabadilisha mada loh....
@ummu kuluthumu mambo best? mzima wewe?? za jumapili??
hahahaha tatizo ukiwz unanimix nikianza kumiksika tu unabadilisha mada loh....
aaah kumbeeee nishajua
ummu kulthum karibu mpendwa.nakushukuru sana naahidi kuyatekeleza kwa moyo wote.karibu baa jet
@Young_Master my x, hebu nikumbushe ile taarabu ya MANENO YA MKOSAJI ILIIMBWA NA NANI TENA??? za jumapili lakini? chit chaters wazima nyiee?? nimewamisije kha!
mke mwenza mambo?? kalala kwako au kwa Yummy?? cjamuona kwangu weekend nzima kha!
Ushajua nini ?
Afu maswali yangu unayavalia mawanimbao?
Nimekuuliza nitajie aliyenilimbwata mie umepiga kimya!
Btw hivi unajua hua hakuna Mwanamke mjanja kwa Mwanaume?
Tena hii ni a particular msg kwa wanawake wote wa hapa Jf.
We mkali !
Ile mix-cockmkia ya jana uliileta eneo muafaka hasa! Nilisahau tu kukwambia "Shkamoo"
btw ikakutana namie ni Mafya! Kabla haijashuka nikaifata juu na kuibatua!
Teh najua ni wewe ila umesikia anavyohoji siri ya mafanikio kama ni Cameroon au
Btw mi mzima kabisa Catherine hofu kwako mama
Ushajua nini ?
Afu maswali yangu unayavalia mawanimbao?
Nimekuuliza nitajie aliyenilimbwata mie umepiga kimya!
Btw hivi unajua hua hakuna Mwanamke mjanja kwa Mwanaume?
Tena hii ni a particular msg kwa wanawake wote wa hapa Jf.
Sasa bu ummu kulthum hata dume mimi pia nafanania kupewa ama kulishwa hiyo mijani unayoiita limbwata?
Catherine ukimtaja my sugar Asprin moyo wangu unapaa, weekend hii cjamuona kabisa mayb alilala nyumba ya kati kwa Yummy! upo lakini weye?mwambie siri ni kujipendekeza tu kwa watu, asisubiri kuanzwa, yaani yeye ndio aanze watu waendeleze game.
Kama hivi yaanicacico wapi Asprin? gfsonwin wapi Kaizer?
Me miss The secretary hapa
Ynai mimi na wewe kutalikiana ndo imekuwa kosa hadi unanigeuza mimi mzee Yusuph? mie sio mzima cacico. bado naumwa sana. JF, my OC na my mom ndowafariji wangu pekee waliobakia katika maisha yangu.
usijali my x, ni upepo tu unakatiza! yataisha kha! salamu kwa wote huko.Ynai mimi na wewe kutalikiana ndo imekuwa kosa hadi unanigeuza mimi mzee Yusuph? mie sio mzima cacico. bado naumwa sana. JF, my OC na my mom ndowafariji wangu pekee waliobakia katika maisha yangu.
mi naogopa kumtaja ntasutwa hapa,je naruhusiwa ku pm?af wote wanjanja bana.chezea wanawake ww utakoma leoooo