ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hajambo sana! mzima sana, na wanao pia hawajambo, wenzao huko vipi?nipo poa mpedwa shem hajambo?
`maujanja?? ummu kulthum umeniacha chalinzee? hebu nirudie ili twende sawa!asante kwa maunjanja na kuwa muwazi ili nami nirushwe hewani
hajambo sana! mzima sana, na wanao pia hawajambo, wenzao huko vipi?
niliumbwa ku-entertain, wacha leo niukoshe moyo wako pia!unavituko c,Tupo powaaa!!!INGINE HII CHUKUA.... si kwamba siwezi kusema naziogopa lawama zingine zinakondesha
mpe haki yake! mpe kitu cha ladha za wani, mchanganyie na madoido, lazma akusemeshe, ananunia hakimu, wakati ye ndiye mtuhumiwa mkuu??? anchekesha mie! hebu tumia maujanja yaleeeeeeeee, asikuletee mambo ya aibu hapa!watoto wadogo hawajambo ila mtoto mkubwa kaninunia shoti yngu leo cku ya 3
ulinikatili sana aiseee...
mie ndo nilikuwa nimekaa mkao wa kumix na kukoroga pale..
next time itabidi nije na mkakati mpya...
ummu kulthum karibu mpendwa.
<BR><BR>yaan kwa kusahau ww mara hii umesahau ulivyolibwatishwaga siku ile hadi uchovu ukakuisha wng.
mke mwenza mie mzima tu,
mume wetu sijui kalala wapi...
mie sijamtia machoni toka ijumaa...
mwambie siri ni kujipendekeza tu kwa watu, asisubiri kuanzwa, yaani yeye ndio aanze watu waendeleze game.
Kama hivi yaanicacico wapi Asprin? gfsonwin wapi Kaizer?
Me miss The secretary hapa
@The secretaryyani we ndo usiseme limbwata limekukolea
@The secretary
mambo?? kwema hukooo? kha, mbona kuntu?
usijali my x, ni upepo tu unakatiza! yataisha kha! salamu kwa wote huko.
yani we ndo usiseme limbwata limekukolea
Bishanga mzima?
Nasikia we ndio limbwata imekukolea mbaya