Ila pia wapo wanaopendana sana lakini hawaoani!ukiwa nacho huwez kuona thaman ya kitu ila siku huna ndio unajua thaman.
Weng huwa ni ulimbuken tu. Huwa wanafikiri unachompa anaweza kupata kwa mwingine wanasahau kuwa mapenz sio ngono.
Ngono utapata kwa ke au me lkn upendo hutofautiana.
Kiukweli, mkifikia hatua ya kuachana ujue hakuna mapenz. Wanaopendana wanaoana ila weng ni tamaa tu.