Wanaume: Huwa mnasahau nini kwa ma-ex zenu?

Wewe una matatizo na usipoangalia utaachwa sana

Wanawake dizaini yako ndo wale wanambana mtu hadi
anashindwa 'kupumua'
mara uko wapi? mara mbona hupokei simu?
mara kapiga,dakika kumi baadae kapiga tena na cha maana hakuna

inaitwa suffocation....wanaume hatupendi suffocation .....

we need 'SPACE'......

Kkukumiss ni kawaida.....anything good huwa tunaki miss
hata msosi wa mama ntilie mzuri uliepita tu mtaa huo kwa bahati mbaya unaweza
kuumiss siku moja...ukarudi mtaa huo huo kutazamatazama kama bado anapika tena

Umeeleza vizuri. Inawezekana siyo kwamba huyu dada hakupendwa ila wanaume wanajikuta kama kifungoni kwa kufuatiliwa sana na hivyo kuhisi kukosa uhuru. Nafikiri anapaswa kulitambua hili na kama asipolijua ataishia kulalamika kila siku ya kwamba wanaume hawaeleweki.
 
wasipowatafuta utasikia ooohh hanijali mara kishapata mwingine! wakiwatafuta oooh safocation, kumridhisha binadamu taabu sana.
Taabu mno bi mkubwa. Tatizo na wenyewe wakiwa ndo wanakupa tongozo, simu yako haipumui kabisa, baby this, baby that, baby blah blah. Hadi mtu unazoea na kuhisi mawasiliano yenu ndivyo yatakuwa kila siku. Mmh kumbe mwenzio ni swagga tu za kumtoa nyoka pangoni
 
wao wanatusafocate wakati wa tongozo ila hawataki kuwa safocated baada ya kukubaliwa!! hawa viumbe ni very selfish to the maximum.

Taabu mno bi mkubwa. Tatizo na wenyewe wakiwa ndo wanakupa tongozo, simu yako haipumui kabisa, baby this, baby that, baby blah blah. Hadi mtu unazoea na kuhisi mawasiliano yenu ndivyo yatakuwa kila siku. Mmh kumbe mwenzio ni swagga tu za kumtoa nyoka pangoni
 
wao wanatusafocate wakati wa tongozo ila hawataki kuwa safocated baada ya kukubaliwa!! hawa viumbe ni very selfish to the maximum.
Hahaha hawaeleweki kama kitu fulani hivi. Na wewe ukisema usimtafute hadi akiwa free akutafute mwenyewe, ni kosa kubwa. Yani me huu uzee unavyonijia vibaya, stress nina allergy nazo hatari. Nakuacha tu ufanye yako, ukijisikia utanitafuta (though ndo unanifundisha kuishi bila wewe, hilo gap likikua mmmh), but please siwezi kumlazimisha mtu mzima awasiliane na mimi kama haoni umuhimu
 
ndio hivyo, unampuuza tu unaendelea na yako, alafu taratibu ndio nitolee hiyo maana mahusiano bila mawasiliano sio mahusiano hayo, mnahusiana nn hapo sasa!!

Hahaha hawaeleweki kama kitu fulani hivi. Na wewe ukisema usimtafute hadi akiwa free akutafute mwenyewe, ni kosa kubwa. Yani me huu uzee unavyonijia vibaya, stress nina allergy nazo hatari. Nakuacha tu ufanye yako, ukijisikia utanitafuta (though ndo unanifundisha kuishi bila wewe, hilo gap likikua mmmh), but please siwezi kumlazimisha mtu mzima awasiliane na mimi kama haoni umuhimu
 
Habarini. Nina swali kwa wanaume.

Huwa kuna kitu mnakuwa mmekisahau kwa ma ex zenu? Kwa mfano mimi kila ex wangu lazima arudi, oohh nimekumic wakati kipindi tuko kwenye mahusiano most of them walianza kuwa na vituko.

Ukiwa nao labda hapokei simu, hajibu texts, pozi nyingi, kuonana nae kazi mpaka naamua kuwambia ngoja nisikubane tafuta furaha sehemu nyingine kama mimi kwangu unaikosa.

Ila cha kushangaza baada ya muda( pengine kashapata mtu mwingne) anaanza tena ukaribu mara nimekumiss, kila wakati anakupigia simu. Kwanini wakati tupo wote hukufanya haya mpaka tuachane? Na mimi nkishaachana na mtu hisia zinaisha kwake kabisa so hiyo hali inaniboa. Kwanini tukiwa wote vituko halafu baada ya muda unanitaka tena wakati una mtu?

Huwa kuna kitu mnasahau jamani? Ila mimi siwezi mrudia mtu niliyeachana nae asije akawa anataka nichezea bure hata kama yuko serious. Japo kuna wachache ndo wanarudi wanataka urafiki, japo urafiki na mtu uliyempenda ni vigumu labda kama sikumpenda kiivyo urafki sawa tu.

Naomba mnisaidie nijue kwanini mnakuwa hivi? Na hawa watu niwafanyaje?
Tunakuwa tumepata pa kulinganishia halafu unakuwa uko juu...

Unajuwa tunajuwa huyu ni mrefu kwa sababu umeona kuna mfupi otherwise huwezi jua....

Hivyo tunajuwa wewe Ex unapafomu sawasawa baada ya kukutana na magogo na watenga chakula ukimaliza wanatoa vyombo
 
ndio hivyo, unampuuza tu unaendelea na yako, alafu taratibu ndio nitolee hiyo maana mahusiano bila mawasiliano sio mahusiano hayo, mnahusiana nn hapo sasa!!

mawasiliano mengine yanakuwa ni kero. Simu kila saa, mara upo na nani, mara upo wapi. mara unafanya nini, Girl, are we in interview.? Akikupigia simu aakikuta ipo busy ukija kupokea inakuwa kesi, anakuuliza ulikuwa unaongea na nani, simu ukipigiwa usipopokea bahati mbaya upo busy mara ooo umenidharau au ulikuwa na mwanamke wako.

yaani ni tabu tupu.
 
Sio kila kipolo kinapashwa jamani kipolo cha wali kinapashika na kinakuwa wali fresh. Kipolo cha makande ni kipolo tuu!
Kuna mwanaume mwanaume haswaaa sio wale wavulana under 30 boys! Yaan mnaachana may be kwa uzembe wake vikelele vinaanza home mnaachana! Ila baada ya miezi anarudi na a bundle of sweetht na na magunia ya queen's and queen's kumbuka awali alikuwa asset na sio liability weee utaacha kupasha kipolo hicho? Na mtu kajileta mwenyewe kwa magoti? Labda kama alikuwa liability!
 
kama uliweza kuzivumilia hizo kero mwanzoni inamaana uliona unazimudu, why bragging now!!

mawasiliano mengine yanakuwa ni kero. Simu kila saa, mara upo na nani, mara upo wapi. mara unafanya nini, Girl, are we in interview.? Akikupigia simu aakikuta ipo busy ukija kupokea inakuwa kesi, anakuuliza ulikuwa unaongea na nani, simu ukipigiwa usipopokea bahati mbaya upo busy mara ooo umenidharau au ulikuwa na mwanamke wako.

yaani ni tabu tupu.
 
kama uliweza kuzivumilia hizo kero mwanzoni inamaana uliona unazimudu, why bragging now!!

Binafsi sijawahi kuvumilia hizo kero, huwa nakuwa strict and bold since day one anaponikubalia na kuwekeana agreements.
 
Back
Top Bottom