Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,225
- 6,349
MbuziMzee, naona hujipendi. Pamoja na kuandika ama kuweka picha za ukweli sitoshangaa wakaja watanzania wenzangu kukutukana kisa umeweka uozo uliokithiri hapa nchini. Yaani sielewi kwanini tunakuwa na tabia ya kutokubali ukweli. Huu ni mwaka 2012 na karne ya 21 ujamaa wa kubeza ujinga umeisha, yabidi tubadirike jamani ili tulete mapinduzi hapa nchini.
Last edited by a moderator: