Hivi hawa the comedy wa EATV wanaosema amevurugwa baba ako,au amevurugwa shangazi yako,amevurugwa babu yako kuna chochote wanachotufundisha hapo kweli?
Kuna aina mbalimbali za usikilizaji/ utazamaji. Sio kila unachosikiliza/ angalia ni cha kujifunza. Ndio maana ikaitwa Comedy, usikaze uso kutegemea kujifunza hapo.
Unaweza nijibu swali lifuatalo, Kuna chochote unachojifunzaga kwenye muvi za Mr. Bean?!
lakini mr bean hatumii maneno kama ya akina bambo bwana
Shida ni kwamba anatumia 'kidhungu'.
hapana hawezi kusema amevurugwa mara baba ako,mara amevurugwa babu yako watoto wetu wanajifunza nn pale?
Swaga za Kaskazini hizo arifu!
Hivi hawa the comedy wa EATV wanaosema amevurugwa baba ako,au amevurugwa shangazi yako,amevurugwa babu yako kuna chochote wanachotufundisha hapo kweli?
hapana hawezi kusema amevurugwa mara baba ako,mara amevurugwa babu yako watoto wetu wanajifunza nn pale?