Wanateknolojia

Babes009

New Member
Jan 18, 2012
1
0
Naomba msaada wenu sim yangu haiwezi kudownload kwa kutumia opera niliyo install,bt inafungua almost page zote.nifanyaje ili niweze kudownload kile nachotaka!simu yangv ni sumsung GT-C3510
 
Naomba msaada wenu sim yangu haiwezi kudownload kwa kutumia opera niliyo install,bt inafungua almost page zote.nifanyaje ili niweze kudownload kile nachotaka!simu yangv ni sumsung GT-C3510

Sidhani kama simu yako inashindwa kudownload kwa kutumia opera mini. Nadhani wewe ndio utakuwa unakosea katika kusave files zako wakati wa kudownload. Kwa msaada zaidi PM me.
 
Back
Top Bottom