manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,723
Jamani naomba muongozo juu ya sheria ya umiliki wa kiwanja inasemaje?
Kuna kiwanja nimenunua Arusha alieniuzia ni mtoto wa mwisho katika hiyo familia ambaye baba mzazi wao alishafariki na kumwachia mke wake kuwa ndio msimamizi wa miradhi sasa na mama aliwagawia watoto wake kila mmoja eneo lake ambapo huyu kijana wa mwisho ndio alieniuzia mimi kwa sababu alikuwa anasoma mzumbe university so akakwama maswala flan ikamlazimu kuuza eneo lake ili aweze kuendelea na masomo basi mi nikanunua hilo eneo ilikuwa ni mwaka 2007 na taratibu nilizofuata nilimshirikisha baloz wa shina,mwenyekiti wa kitongoj na kaka mmoja wa muuzaj nami nikiwa na mashaidi wa upande wangu tukaenda kuandikishiana kwa mwanasheria wa serikal tukamaliza so mi nikapiga fency kile kiwanja nikatulia sasa juz i mean july 2010 amekuja kaka wa yule muuzaji ambaye wameshare baba kumbe yule mzee alikuwa na wake 2 na kila mke alipewa mali zake huyu alieniuzia mimi ni mtoto wa mke mdogo sasa amejitokeza mtoto wa mama mkubwa ambaye naye ameshauza viwanja alivyopewa na amekwenda kunishtaki ofisi ya kijiji akidai kwamba wadogo zake waliuza viwanja vya baba yao bila kumshirikisha yeye so yeye sasa anataka kurudisha pesa za watu walionunua viwanja hivyo ila mi sitaki kurudishiwa hiyo pesa coz hiyo sehemu nilionunua kiwanja ni nzuri kwa shughul yeyote na ni mjin kabisa.Nimepokea barua ya wito toka ofisi ya kijiji ikinitaka nifike hapo ofisin jtano ijayo nikaona bila ya hiyo jtano ngoja niombe ushauri hapa jamvini ili niweze kupata point za kuanzia siku ya kesi hiyo.Ila alieniuzia hilo eneo bado yupo na yupo upande wangu lakini nae anasema ukoo unaweza kumshawishi aseme labda aliuza bila kushirikisha ndugu zake hivyo wanaomba walionunua warudishiwe pesa zao.Ni hayo tu naomba ushauri na sheria kwani inasemaje?
Kuna kiwanja nimenunua Arusha alieniuzia ni mtoto wa mwisho katika hiyo familia ambaye baba mzazi wao alishafariki na kumwachia mke wake kuwa ndio msimamizi wa miradhi sasa na mama aliwagawia watoto wake kila mmoja eneo lake ambapo huyu kijana wa mwisho ndio alieniuzia mimi kwa sababu alikuwa anasoma mzumbe university so akakwama maswala flan ikamlazimu kuuza eneo lake ili aweze kuendelea na masomo basi mi nikanunua hilo eneo ilikuwa ni mwaka 2007 na taratibu nilizofuata nilimshirikisha baloz wa shina,mwenyekiti wa kitongoj na kaka mmoja wa muuzaj nami nikiwa na mashaidi wa upande wangu tukaenda kuandikishiana kwa mwanasheria wa serikal tukamaliza so mi nikapiga fency kile kiwanja nikatulia sasa juz i mean july 2010 amekuja kaka wa yule muuzaji ambaye wameshare baba kumbe yule mzee alikuwa na wake 2 na kila mke alipewa mali zake huyu alieniuzia mimi ni mtoto wa mke mdogo sasa amejitokeza mtoto wa mama mkubwa ambaye naye ameshauza viwanja alivyopewa na amekwenda kunishtaki ofisi ya kijiji akidai kwamba wadogo zake waliuza viwanja vya baba yao bila kumshirikisha yeye so yeye sasa anataka kurudisha pesa za watu walionunua viwanja hivyo ila mi sitaki kurudishiwa hiyo pesa coz hiyo sehemu nilionunua kiwanja ni nzuri kwa shughul yeyote na ni mjin kabisa.Nimepokea barua ya wito toka ofisi ya kijiji ikinitaka nifike hapo ofisin jtano ijayo nikaona bila ya hiyo jtano ngoja niombe ushauri hapa jamvini ili niweze kupata point za kuanzia siku ya kesi hiyo.Ila alieniuzia hilo eneo bado yupo na yupo upande wangu lakini nae anasema ukoo unaweza kumshawishi aseme labda aliuza bila kushirikisha ndugu zake hivyo wanaomba walionunua warudishiwe pesa zao.Ni hayo tu naomba ushauri na sheria kwani inasemaje?