Nauza kiwanja, mbande kimbangulile

fundi msati

JF-Expert Member
Aug 22, 2013
203
67
Habari ndugu wana jamhuri ya muungano wa watanzania, nauza moja kati ya viwanja hivi.
1. Ukubwa wa ft 50X50 vipo 3, kimoja nauza
Kuna cha sh, 3,600,000 kimoja na 2,500,000 viwili

2. Ukubwa wa ft 40X44 kipo kimoja
Sh 2,000,000

Viwanja vyote hivyo vipo sehemu moja lakini sio kwamba vimepakana vilivyo pakana ni viwili vyenye ukubwa wa 50X50 ila hivyo vingine vipo mbali mbali hapa nieleweke kuwa namaanisha ukifika eneo ambalo viwanja vipo hautofanya safari ya kwenda kwengine ila utatoka kwenye kiwanja hiki utakwenda kwenye kiwanja kingine.

Sifa ya viwanja hivi ni kuwa havina mgogoro wa aina yeyote ile sio kifamilia wala serikali haviuzwi kwa mtu zaidi ya mmoja
Kila kiwanja kimeachwa ft 5 za njia naamaanisha ukinunua ft 40 kwa mfano basi unapata hiyo 40 bila kuwaza kuacha njia pande zoto kuna ft za njia tayari.

MUHIMU
tafadhari ukiwa dalali tafadhari usinitafute ukiwa mnunuzi kuwa huru kuwasiliana nami

Mnunuzi atawajibika kulipia gharama zote za uwandikishaji maana nijikumu laki kuwa na hati inayo aminika kwaajili ya kiwanja chake

Kila upande yani mnunuzi na muuzaji atawajibika kwa mashahidi wake

Mnunuzi atalazimika kuja na passport size siku ya kufanya mauziano

Asante mawasiliano ya awali ni
E-mail fundimsati@gmail.com
 
Tumia mita kwa kiwanja kama kipimo badala ya futi, kipimo cha futi kinatumika mara nyingi kwa kwenda chini mfano ukichimba shimo.

Ukitumia kipimo cha mita kwa upana na urefu wa kiwanja au eneo unapata mita za mraba (square meters).

Ukitangaza unauza eneo kwa kutumia kipimo cha futi unaonekana mjanja mjanja, yes utawapata wasiojua tofauti kati ya futi na mita ila inakuharibia sana.

Binafsi nikionana eneo linapimwa kwa futi najua hamna kitu zaidi ya janja janja tu.

Kwa faida ya wengi uhusiano kati ya futi na mita ni kama ifuatavyo:

Meter Moja(1m)= Futi 3.3

Maana yake kama kiwanja ni futi 50 kwa 50 tutafanya hivi:

1m = 3.3 feet
?m. = 50 ft

50ft÷ 3.3 = 15.15 meter

Kwa hiyo hilo eneo lako la kiwanja ni meter 15.15 kwa 15.15 meters ambapo ni sawa na mita za mraba 229.5 ukifanya urefu mara upana.


Samahani kama nitakuwa nimekukwaza ila nimetoa elimu hii ili tubadilike tufanye biashara kiroho safi.
 
Tumia mita kwa kiwanja kama kipimo badala ya futi, kipimo cha futi kinatumika mara nyingi kwa kwenda chini mfano ukichimba shimo.

Ukitumia kipimo cha mita kwa upana na urefu wa kiwanja au eneo unapata mita za mraba (square meters).

Ukitangaza unauza eneo kwa kutumia kipimo cha futi unaonekana mjanja mjanja, yes utawapata wasiojua tofauti kati ya futi na mita ila inakuharibia sana.

Binafsi nikionana eneo linapimwa kwa futi najua hamna kitu zaidi ya janja janja tu.

Kwa faida ya wengi uhusiano kati ya futi na mita ni kama ifuatavyo:

Meter Moja(1m)= Futi 3.3

Maana yake kama kiwanja ni futi 50 kwa 50 tutafanya hivi:

1m = 3.3 feet
?m. = 50 ft

50ft÷ 3.3 = 15.15 meter

Kwa hiyo hilo eneo lako la kiwanja ni meter 15.15 kwa 15.15 meters ambapo ni sawa na mita za mraba 229.5 ukifanya urefu mara upana.


Samahani kama nitakuwa nimekukwaza ila nimetoa elimu hii ili tubadilike tufanye biashara kiroho safi.
Upo sawa tu ila kwa biashara ya kiwanja bado sio tatuzo kutumia futi kwani ujenzi vipimo vyake hutumia futi mfano chumba hupimwa kwa futi, yote kwa yote basi kiwanja ninacho uza kina ukubwa wa izo mita ulizo taja
 
Japo hata picha ndugu kama itakupendeza



Habari ndugu wana jamhuri ya muungano wa watanzania, nauza moja kati ya viwanja hivi.
1. Ukubwa wa ft 50X50 vipo 3, kimoja nauza
Kuna cha sh, 3,600,000 kimoja na 2,500,000 viwili

2. Ukubwa wa ft 40X44 kipo kimoja
Sh 2,000,000

Viwanja vyote hivyo vipo sehemu moja lakini sio kwamba vimepakana vilivyo pakana ni viwili vyenye ukubwa wa 50X50 ila hivyo vingine vipo mbali mbali hapa nieleweke kuwa namaanisha ukifika eneo ambalo viwanja vipo hautofanya safari ya kwenda kwengine ila utatoka kwenye kiwanja hiki utakwenda kwenye kiwanja kingine.

Sifa ya viwanja hivi ni kuwa havina mgogoro wa aina yeyote ile sio kifamilia wala serikali haviuzwi kwa mtu zaidi ya mmoja
Kila kiwanja kimeachwa ft 5 za njia naamaanisha ukinunua ft 40 kwa mfano basi unapata hiyo 40 bila kuwaza kuacha njia pande zoto kuna ft za njia tayari.

MUHIMU
tafadhari ukiwa dalali tafadhari usinitafute ukiwa mnunuzi kuwa huru kuwasiliana nami

Mnunuzi atawajibika kulipia gharama zote za uwandikishaji maana nijikumu laki kuwa na hati inayo aminika kwaajili ya kiwanja chake

Kila upande yani mnunuzi na muuzaji atawajibika kwa mashahidi wake

Mnunuzi atalazimika kuja na passport size siku ya kufanya mauziano

Asante mawasiliano ya awali ni
E-mail fundimsati@gmail.com

Simu 0698271719
0687780320
0755971153
0678200180
 
Simu 0698271719
0687780320
0755971153
0678200180
Njia ya futi 5 ambayo ni sawa na mita 1.5151515152 ni ya kupita gari, waenda kwa miguu au guta? Na je kwa njia ya upana huo Lori la mchanga napitisha wapi?
 
Tumia mita kwa kiwanja kama kipimo badala ya futi, kipimo cha futi kinatumika mara nyingi kwa kwenda chini mfano ukichimba shimo.

Ukitumia kipimo cha mita kwa upana na urefu wa kiwanja au eneo unapata mita za mraba (square meters).

Ukitangaza unauza eneo kwa kutumia kipimo cha futi unaonekana mjanja mjanja, yes utawapata wasiojua tofauti kati ya futi na mita ila inakuharibia sana.

Binafsi nikionana eneo linapimwa kwa futi najua hamna kitu zaidi ya janja janja tu.

Kwa faida ya wengi uhusiano kati ya futi na mita ni kama ifuatavyo:

Meter Moja(1m)= Futi 3.3

Maana yake kama kiwanja ni futi 50 kwa 50 tutafanya hivi:

1m = 3.3 feet
?m. = 50 ft

50ft÷ 3.3 = 15.15 meter

Kwa hiyo hilo eneo lako la kiwanja ni meter 15.15 kwa 15.15 meters ambapo ni sawa na mita za mraba 229.5 ukifanya urefu mara upana.


Samahani kama nitakuwa nimekukwaza ila nimetoa elimu hii ili tubadilike tufanye biashara kiroho safi.
Hii imekaa vizuri.
 
Njia ya futi 5 ambayo ni sawa na mita 1.5151515152 ni ya kupita gari, waenda kwa miguu au guta? Na je kwa njia ya upana huo Lori la mchanga napitisha wapi?
Njia kubwa ya mtaa ipo lori inapita uzo za ft 5 ni kiwanja kwa kiwanja wenyewe mkikubaliana mnaweza kuongeza
 
Kiwanja chenye ukubwa

50ft × 50ft = 15m ×15m = 225 sq

Ukubwa wa barabara za kutenganisha kiwanja na kiwanja

5ft = 1.5m

Documents

Hati za serikali ya mtaa


Mkuu inabidi kama nchi tubadilike , kinachonisikitisha ni kuwa , Kuna uwezekano baada ya miaka 30 kutoka sasa Dar es salaam yote ikawa ni uswahilini tuu km ilivyo tandale coz kama hadi kwenye miji mipya bado tunaendelea kuuziana viwanja kiswahili hivi tutapiga hatua kweli !

Leo hii ukienda Goba ,kule ni uswahilini kulikojengwa nyumba za kisasa,
 
Kiwanja chenye ukubwa

50ft × 50ft = 15m ×15m = 225 sq

Ukubwa wa barabara za kutenganisha kiwanja na kiwanja

5ft = 1.5m

Documents

Hati za serikali ya mtaa


Mkuu inabidi kama nchi tubadilike , kinachonisikitisha ni kuwa , Kuna uwezekano baada ya miaka 30 kutoka sasa Dar es salaam yote ikawa ni uswahilini tuu km ilivyo tandale coz kama hadi kwenye miji mipya bado tunaendelea kuuziana viwanja kiswahili hivi tutapiga hatua kweli !

Leo hii ukienda Goba ,kule ni uswahilini kulikojengwa nyumba za kisasa
Serikali ingeweka mkono wake hata kupitia serikali mtaa hizi. Kulazimisha kuuziana kwa mfumo kama wa viwanya vilivyopimwa, dar es salaam ipate hadhi
 
Kiwanja chenye ukubwa

50ft × 50ft = 15m ×15m = 225 sq

Ukubwa wa barabara za kutenganisha kiwanja na kiwanja

5ft = 1.5m

Documents

Hati za serikali ya mtaa


Mkuu inabidi kama nchi tubadilike , kinachonisikitisha ni kuwa , Kuna uwezekano baada ya miaka 30 kutoka sasa Dar es salaam yote ikawa ni uswahilini tuu km ilivyo tandale coz kama hadi kwenye miji mipya bado tunaendelea kuuziana viwanja kiswahili hivi tutapiga hatua kweli !

Leo hii ukienda Goba ,kule ni uswahilini kulikojengwa nyumba za kisasa,
Azia serikalini kuleta mabadiriko mkuu mimi siwezi badili chochote hapo, alafu kama wewe haukubaalini na hayo we ndenda kanunue vilivyo kidhi vigezo, usitumie nguvu kubwa kuskitika jf hapa fanya jambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom