Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,265
Team,
Salaam!
Nimeona video moja ya Naibu Waziri anayehudumia akitokea mkoa wa Kagera akiwa ktk mkutano amepiga magoti na kuanza kutoa hotuba huku akilia machozi kama mtoto mdogo.
Sasa nachouliza kwa Naibu Waziri huyu mpaka anapiga magoti mbele ya umma wa watu waliohudhuria mkutano wake kuna tatizo gani linalomsokota kisiasa?
Wakilia tuwahurumie na kuwarudisha madarakani?
Mnaoota kuwa Wanasiasa na pengine kuwa wabunge jifunzeni kutonenepesha mifugo wkt wa kuingia mnadani - huenda mkawa mmechelewa sana.
Lkn kwa upande wa vyama epukeni dhambi ya kurudisha majina ya wagombea ambao wameanguka ktk kura za maoni - kufanya hivyo ni kujiandalia upinzani hata kabla ya safari kufika.
Ovaaaa!
Salaam!
Nimeona video moja ya Naibu Waziri anayehudumia akitokea mkoa wa Kagera akiwa ktk mkutano amepiga magoti na kuanza kutoa hotuba huku akilia machozi kama mtoto mdogo.
Sasa nachouliza kwa Naibu Waziri huyu mpaka anapiga magoti mbele ya umma wa watu waliohudhuria mkutano wake kuna tatizo gani linalomsokota kisiasa?
Wakilia tuwahurumie na kuwarudisha madarakani?
Mnaoota kuwa Wanasiasa na pengine kuwa wabunge jifunzeni kutonenepesha mifugo wkt wa kuingia mnadani - huenda mkawa mmechelewa sana.
Lkn kwa upande wa vyama epukeni dhambi ya kurudisha majina ya wagombea ambao wameanguka ktk kura za maoni - kufanya hivyo ni kujiandalia upinzani hata kabla ya safari kufika.
Ovaaaa!