Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
majibu
1. atachukua hatua gani na wakati jk mwenyewe anawalinda
2. hao wengine watanao hajawataja kwa ajili hana document zao zilizokamilika na wanajificha nyuma ya mapapa
3. taifa haligawanyiki waindi ni kidogo na wezi na hii ni fact
wacha unafiki wewe mbona jana ukutuma maswali ya rostam
WEWE MNAFIKI NAMBA MOJA. kwani hukuyaona maswali? lazima kila mtu atoe? lazima kila mtu amuulize RA na Mengi asiulizwe? Unajibu wewe ni Mengi? hakuna haja ya kuwa upande wa mtu tunataka waumbuana wajitetee ndio tuamue nani ni nani sio mnarukia majibu. UPUUZI mtupu kama JK anawalinda mbona Mengi yuko msitali wa mbele kumpigia debe kuwa anafanikisha mapambano ya ufisadi wakati kakamata mafisadi DAGAA? TUNAWATAKA PAPA na NYANGUMI WAJISAFISHE WENYEWE, MSITUINGIZE VITANI SISI EBOOOOOOO