Unafiki huu ndio unaitafuna Nchi hii.serukamba alihaidiwa uwaziri na lowassa lakini naona hadi leo mambo yamekuwa magumu kanaanza kupoteza tumaini ila lowassa amekalipia ada ya masomo pale esami arusha ndo kanaendelea kusoma ,always kamekuwa kainformer katiifu kwa mafisadi and im sure ni miongoni mwa wanafiki ambao hawatarudi bungeni tena.
Sawa kabisa kwani huyu ni kikwazo kwa vyombo vyetu vya habari.Umemsahau George Mkuchika.
Sawa kabisa kwani huyu ni kikwazo kwa vyombo vyetu vya habari.
makamba