GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,654
- 109,056
Hayati John Pombe Joseph Magufuli najua kama Binadamu ( na ni kawaida Kiumbwaji ) ulikuwa na Mapungufu yako ( ambayo hata Mimi GENTAMYCINE ninayo ) ila Mambo mazuri uliyokuwa nayo na yaliyotufanya Watanzania wengi TUKUPENDE, TUKUKUMBUKE na TUKULILIE kila Siku ni kama yafuatayo.....
1. Hukuwa Mpumbavu wa Kiasili
2. Hukuwa Muoga na Mnafiki
3. Hukuwa Mbabaishaji
4. Hukuwa Mtu wa Kupelekeshwa kama Zuzu
5. Hukulea Upuuzi na Uzembe
6. Ulipambana Kivitendo na Maadui wa Maendeleo
7. Hakukubali kushikiwa Akili zako na Mafisadi na Wapiga Dili wa Tanzania
Taifa haliwezi kuwa katika POWER CRISIS inayotokana na UZEMBE ulioko TANESCO na kuwafanya Watanzania kutokuwa na uhakika wa UMEME kutokana na KUKATIKA KWAKE KUSIKOELEWEKA MARA KWA MARA huku ndani yake kukiwa na HUJUMA KUBWA na KUHUJUMIANA KWINGI halafu kuna Mtu hata HAJALI wala HAUMIZWI na hali hii ( hiyo ) ila yuko busy kuhakikisha Fedha zake za kutafuta Sifa na Umaarufu zinaenda kwa Simba na Yanga akiamini kuwa WAPUMBAVU wengi wako huko na 2025 watamrahisishia njia ya kutoendelea kuwa Dereva Deiwaka na sasa kuwa Dereva Kamili.
INAKERA SANA na HAIVUMILIKI kabisa.
1. Hukuwa Mpumbavu wa Kiasili
2. Hukuwa Muoga na Mnafiki
3. Hukuwa Mbabaishaji
4. Hukuwa Mtu wa Kupelekeshwa kama Zuzu
5. Hukulea Upuuzi na Uzembe
6. Ulipambana Kivitendo na Maadui wa Maendeleo
7. Hakukubali kushikiwa Akili zako na Mafisadi na Wapiga Dili wa Tanzania
Taifa haliwezi kuwa katika POWER CRISIS inayotokana na UZEMBE ulioko TANESCO na kuwafanya Watanzania kutokuwa na uhakika wa UMEME kutokana na KUKATIKA KWAKE KUSIKOELEWEKA MARA KWA MARA huku ndani yake kukiwa na HUJUMA KUBWA na KUHUJUMIANA KWINGI halafu kuna Mtu hata HAJALI wala HAUMIZWI na hali hii ( hiyo ) ila yuko busy kuhakikisha Fedha zake za kutafuta Sifa na Umaarufu zinaenda kwa Simba na Yanga akiamini kuwa WAPUMBAVU wengi wako huko na 2025 watamrahisishia njia ya kutoendelea kuwa Dereva Deiwaka na sasa kuwa Dereva Kamili.
INAKERA SANA na HAIVUMILIKI kabisa.