Wanaounga mkono kufukuzwa wanafunzi UDOM wameliangalia hili!??

G.Man

JF-Expert Member
Feb 9, 2014
1,008
2,002
Habari za jumapili..
Kumekuwa na maneno mengi sana kuhusiana na swala la wanafunzi zaidi ya elfu 7 kufukuzwa chuo kikuu Dodoma kwa madai tatanishi kulingana na kauli za viongozi wa nchi: 1- wanafunzi hawana vigezo
2- Wamefukuzwa kwasabab ya mgomo wa wahadhiri.
Kwa upande wangu mimi siungi mkono kufukuzwa kwao na nina washangaa wanaoungana na kauli ya Mh Rais kwamba hao wanafunzi ni 'vilaza'. Swali kwa wanaoshadadia kufukuzwa kwao ni hili;
Hivi hao wanafunzi uwezo wao wa sasa darasani(chuoni) ukoje, maana kuna ambao huwa wanatoka na div 1 form four alafu advanc wanafeli kabisa na vice versa.
Sasa kama walifeli zamani na sasa hivi wanafaulu vizuri kuna hasara gani hata kama walipata zero!!!?? Utajuaje siku ya mtihani alikuwa na matatizo binafsi akashindwa kuperfom!?
Swali za kizushi: kwa wanaofanya kazi kwenye makampuni hivi perfomanc ya waliokuwa wanakimbiza darasani na wale waliokuwa na average scores imekaaje!!?
Ni hayo tu...
 
Ifike mahali kila mtu atomize wajibu wake na siasa ziwekwe kando vinginevyo hii nchi hatutafika mbali.
Muheshimiwa Rais alisema wenye sifa watachambuliwa na watatengenezewa mazingira mazuri ili waendelee kupata haki yao, na wale wasio na sifa wakatafute vyuo vya saizi yao. Hiyo statement watu wanajifanya hawakuisikia.
 
Kweli kabisa
Tuliokua ma genius class wengi ni vilaza katika maisha ya kawaida.
kabisa mkuu leo ndo vilaza mtaani wakati simple fe
wenye sifa wameambiwa watarudi watataftiwa wakufunzi wanaweweseka nn kama wanasifa yaan dv 1 na 2?
Basi wafanye haraka maana watu mtaani wanawaona vilaza kweli wakati kilaza ni yule aliyesoma elimu yake kwa kiarabu preform one hadi PhD lakini bado hajui kujieleza kwa kiarabu kwa sentensi zilizonyooka.
 
Kweli kabisa

kabisa mkuu leo ndo vilaza mtaani wakati simple fe

Basi wafanye haraka maana watu mtaani wanawaona vilaza kweli wakati kilaza ni yule aliyesoma elimu yake kwa kiarabu preform one hadi PhD lakini bado hajui kujieleza kwa kiarabu kwa sentensi zilizonyooka.
Kama mefaulu na Rais katofautisha kuna waliofaulu na vilaza sasa kma we umefaulu shida nn na kwann utumie nguvu nyingi wakati umeambiwa unaandaliwa utaratibu mzuri urudi chuo ?Alafu Snt joseph Arusha the same program mwezi wa 3 walitimuliwa mia 4 plus wasio na sifa mbona hamkuzungumza ?
 
Kama mefaulu na Rais katofautisha kuna waliofaulu na vilaza sasa kma we umefaulu shida nn na kwann utumie nguvu nyingi wakati umeambiwa unaandaliwa utaratibu mzuri urudi chuo ?Alafu Snt joseph Arusha the same program mwezi wa 3 walitimuliwa mia 4 plus wasio na sifa mbona hamkuzungumza ?
Naomba uelewe kitu kimoja mkuu staili ya kuwatimua haikuwa nzuri na wala haikuzingatia haki za binadamu. Kwa nini wawaondoe usiku tena chini FFU walio-armed?
Je, watoto hawa ni alshababu au boko haram hadi wapelekewe kikosi maalum?? Au kosa gani walifanya ndo watimuliwe kama foreigner aliyebaka nchini??
 
Kama mefaulu na Rais katofautisha kuna waliofaulu na vilaza sasa kma we umefaulu shida nn na kwann utumie nguvu nyingi wakati umeambiwa unaandaliwa utaratibu mzuri urudi chuo ?Alafu Snt joseph Arusha the same program mwezi wa 3 walitimuliwa mia 4 plus wasio na sifa mbona hamkuzungumza ?
Unatetea kinyesi kisichovumilika.
Ofisi kuu imetoa tamko kuwa waliofukuzwa ni vilaza na kejeli nyingi na hakuna alipotofautisha,
Swali ni je, kwanini taarifa ya mkuu wa nchi itofautiane na taarifa ya waziri wake?
Tuko sober kweli?
 
Unatetea kinyesi kisichovumilika.
Ofisi kuu imetoa tamko kuwa waliofukuzwa ni vilaza na kejeli nyingi na hakuna alipotofautisha,
Swali ni je, kwanini taarifa ya mkuu wa nchi itofautiane na taarifa ya waziri wake?
Tuko sober kweli?
karudie kusikiliza acha ukilaza wewe ndio maana unatetea vilaza wenzako na maana ya kusema waliofaulu atawaandalia utaratibu mzuri wasome ni nn?
 
Naomba uelewe kitu kimoja mkuu staili ya kuwatimua haikuwa nzuri na wala haikuzingatia haki za binadamu. Kwa nini wawaondoe usiku tena chini FFU walio-armed?
Je, watoto hawa ni alshababu au boko haram hadi wapelekewe kikosi maalum?? Au kosa gani walifanya ndo watimuliwe kama foreigner aliyebaka nchini??
ndio washatimuliwa move on na mambo mengine u want them back alafu waondolewe vizuri ama?
 
Habarini za jumapili..Kumekuwa na maneno mengi sana kuhusiana na swala la wanafunzi zaidi ya elfu 7 kufukuzwa chuo kwa madai tatanishi kulingana na kauli za viongozi wa nchi: 1- wanafunzi hawana vigezo
2- Wamefukuzwa kwasabab ya mgomo wa wahadhiri.
Kwa upande wangu siungi mkono kufukuzwa kwao na nina washangaa wanaoungana na kauli ya Mh Rais kwamba hao wanafunzi ni 'vilaza'. Swali kwa wanaoshadadia kufukuzwa kwao ni hili;
Hivi hao wanafunzi uwezo wao wa sasa darasani(chuoni) ukoje, maana kuna ambao huwa wanatoka na div 1 form four alafu advanc wanafeli kabisa na vice versa.
Sasa kama walifeli zamani na sasa hivi wanafaulu vizuri kuna hasara gani hata kama walipata zero!!!?? Utajuaje siku ya mtihani alikuwa na matatizo binafsi akashindwa kuperfom!?
Swali za kizushi: kwa wanaofanya kazi kwenye makampuni hivi perfomanc ya waliokuwa wanakimbiza darasani na wale waliokuwa na average scores imekaaje!!?
Ni hayo tu...
Vilaza wamekuwa wengi kiasi cha kuona kuwa hii ndio performance ya kawaida kumbe ni ya vilaza...
 
Nimeelewa hilo fumbo mkuu, kasoma kiarabu half hajui kujieleza kwa kiarabu....hatar sana. Form one to doctorate.......
Kweli kabisa

kabisa mkuu leo ndo vilaza mtaani wakati simple fe

Basi wafanye haraka maana watu mtaani wanawaona vilaza kweli wakati kilaza ni yule aliyesoma elimu yake kwa kiarabu preform one hadi PhD lakini bado hajui kujieleza kwa kiarabu kwa sentensi zilizonyooka.
 
ndio washatimuliwa move on na mambo mengine u want them back alafu waondolewe vizuri ama?
What you've written above is just part of your hooliganism. Use your head to think rather than keeping long hair and gottee
 
Nimeelewa hilo fumbo mkuu, kasoma kiarabu half hajui kujieleza kwa kiarabu....hatar sana. Form one to doctorate.......
Hahahahaaaa, jamaa anatisha japokuwa ni wa kwetu huku mwandendeule hapo kwenye kiarabu huwa simwelewi kabisaaa, form I, II, III, na IV hajazinduka tu; akaenda mbali zaidi hadi doctorate lakini yeye hawezi tengeneza sentensi nzuri hata moja nini sasa hii kama si kilaza mkuu huyu
 
Back
Top Bottom