Jamani wana jukwaa ni bora kama huna kitu kipya ni bora usiandike post zisizo na maana kwani inakuwa kama kuwapotezea mda watu kusom post ambazo title zinakuwa za kuvutiaa lakini contents bure kabisa hasa katika swala ambalo ni la muhimu kwa watu kama 'heslb'