Wahuni wachache hawataweza kufanya lolote... Ingekuwa Arusha ningetishika, but hakuna mtu asiyejua kuwa watu wa Dar ni waoga kuliko kunguru...
hivi jamani kuna watu wamelogwa au? mbona km wanasetiwa kwa rimot?
Labda na wewe tukuulize una Elimu ya kiwango gani? Mpaka uchukue jukumu la kuwatusi wenzako kuwa hawajasoma? Unapotoa mawazo yako kwa ujumla na kufuata kile ulichoaminishwa kuwa Waislam hawajasoma inakuwa si sawa sawa, wapo Waislam wasomi wazuri waliobobea katika fani zao pia wapo Waislam ambao hawajasoma halikadharika wapo Wakristo wasomi wazuri tu na wapo wakristo ambao hawajasoma kuchukulia jambo hili kwa ujumla jumla si sawa sawa ni kama tusi kwa Waislam wasomi.
Ndugu zangu, hali ya Zanzibar si njema. Na huku Dar nako tunaambiwa kesho itakuwa balaa baada ya swala ya Ijumaa. Nashauri JWTZ wakae mkao wa kuoiokoa jamii isiyo na hatia katika kadhia hii.
Great thinkerCCM walikuwa wakisema Chadema kinahatarisha amani ya nchi ila sasa nashangaa wako kimia kuzungumza kuhusu Amani.
Hichi kigugumizi kinasababishwa na nini? Mikutano ya hadhara ya Chadema inapigwa mabom ya machozi na risasi za moto. Mihadhara ya kichochozi hakuna anayesogea si polisi na si mgambo wanaosogea. Hivi Rais wetu kweli unahitaji kushauriwa mambo ambayo unayaona kwa macho????? Sina Dini ila ustaarabu hauna dini, utu hauna dini
Ubaguzi utatutafuna But we shall overcome.