Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,896
Ndugu zangu, hali ya Zanzibar si njema. Na huku Dar nako tunaambiwa kesho itakuwa balaa baada ya swala ya Ijumaa. Nashauri JWTZ wakae mkao wa kuoiokoa jamii isiyo na hatia katika kadhia hii.
Kuna haja ya JWTZ kuchukua nchi kwa muda kisha nidhamu irejee kwa kipindi cha miezi kadhaa kisha uitushwe uchaguzi mkuu. Maana huko tunakoendelea siko, kuna dalili nyingi za wazi siku uvumilivu utafikia kikomo.