Wanaolalamikiwa Bodi ya chuo cha ufundi Arusha hawa hapa

Ukio, njau, lema, mosha chagas people.
Halafu wanakuja vijana waarusha wanasema watu wa kilimanjaro na arusha wababe wa mjini, matajiri, watoto wa mjini lakini ukiangalia vizur hao ni watu hatar kwa taifa hili.
Hivi hapo arusha technical hamna watu wengine mpaka wajae watu wa kabila moja kwenye bodi ya taasisi moja kama hivyo, au wanataka kutambika.
Huo ni moja ya mfano wa hao watu lakini ni taasisi nyingi sana za serikali hao watu wanamichezo ya kijinga kama hiyo.
Na watoto wao wanakuwa wa kwanza kuja hapa JF kuwasafisha hao ndugu zao.
Ninachoomba wizara husika ya elimu na mafunzo ya ufundi imulike ufisadi huo hapo Arusha Technical College kwa kusafisha huo uozo hapo chuo sababu hatuwezi kuwa na mipango ya kuendeleza nchi ikiwa kuna watu wanataka kuendesha taasisi za serikali kama mali ya ukoo au kabila flani.
Hivi hawa watu walijiteua wenyewe au waziri wa elimu alikuwa mchagga??
 
ni machi au juni..?

hatari sn yaani wanasemwa kwamba ni wajumbe batili wa bodi, lkn bado wanakula posho za vikao.
Sorry, kulikuwa na makosa ya kiuandishi, ni tarehe 16 na 17 Juni 2016 mkuu,

Kama kawaida yao walikutana na kugawana bahasha za kaki zilizojaa noti za rangi ya nyekundu. Waliendelea kupitisha sera ya kufanya wafanyakazi wa chuo kuwa masikini kabisa. Kama ilivyo desturi yao ya kutaka chuo kijae pesa nao waweze kuziiba kama kawaida yao.

Walipitisha sera ya kutoza magari ya wafanyakazi malipo ya kupaki gazi zao chuoni wakiwa kazini kama walivyopitisha sera ya kupata mapato kutoka kwenye mishahara ya wafanyakazi kulipia nyumba za kuishi wafanyakazi wakati Mkuu wa chuo na wasaidizi wake wawili hawalipii nyumba.

Kama ni sera ya kukipa chuo mapato kupitia kodi ya nyumba, Mkuu wa chuo alitakiwa kuwa mfano mzuri wa kulipa kodi hiyo
 
IMG_0081.JPG
 
Lema,
Ukio,
Mosha,
Mushi,
Makileo,
Njau

Wote hao kwenye Bodi moja? What a coincidence! This alone can be considered as "conflict of interest" Mgongano wa kimaslahi utaimaliza nchi. Kama kweli tunataka maendeleo, tuachane na mambo kama haya. Ufanisi utatoka wapi katika hali kama hii?
 
Suzan.jpg Masika.jpg
Suzy Mosha ana bahati sana, sasa ni mara ya tatu mfululizo amekuwa mjumbe wa Bodi ya Chuo. Inadaiwa aliwezeshwa na chuo kufanya MBA na kununua gari. Inasemekana bahati ya Suzan Mosha inatokana na ushawishi aliokuwa nao Mkuu wa Chuo Richard Mushi Masika kwa mamlaka ya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya chuo.

Wakati wengine wakiwa na bahati za aina hiyo, upande mwingine mfanyakazi wa chuo alilipiwa Dola za Kimarekani 5,500 (Tsh 12,000,000/=) za malipo ya awali kwa ajili ya kwenda kusoma Malaysia. Lakini mfanyakazi huyu alipokataa kutoa rushwa ya ngono, uongozi wa chuo ulifuta masomo yake na fedha iliyokuwa imelipwa Malaysia kupotea. Haikuishia hapo, manyanyaso yaliendelea dhidi ya mfanyakazi huyu na hatimaye masikini ya Mungu dada wa watu alishindwa kuvumilia na hivyo aliamua kuacha kazi.

Kwa namna hii si bure kwamba chuo kinaelekea kuzimu. Viongozi wengi wanao-ongoza watu huomba Mungu awashushie Roho mtakatifu ili awape uwezo wa kuongoza kwa kufuata Sheria, Kanuni, Taratibu, Hekima na Busara, lakini hapa tunaona wengine wanaomba waongozwe na Roho mtaka vitu, ili wafaidi Dunia.

Mungu atujalie, watu wa aina hii wasiwe wengi katika nchi kwa maana hasira ya Mungu inaweza kuwa kubwa na anaweza kuwasha moto wa kuunguza na kuangamiza Taifa.

Lema,
Ukio,
Mosha,
Mushi,
Makileo,
Njau

Wote hao kwenye Bodi moja? What a coincidence! This alone can be considered as "conflict of interest" Mgongano wa kimaslahi utaimaliza nchi. Kama kweli tunataka maendeleo, tuachane na mambo kama haya. Ufanisi utatoka wapi katika hali kama hii?
 
View attachment 366792 View attachment 366791
Suzy Mosha ana bahati sana, sasa ni mara ya tatu mfululizo amekuwa mjumbe wa Bodi ya Chuo. Inadaiwa aliwezeshwa na chuo kufanya MBA na kununua gari. Inasemekana bahati ya Suzan Mosha inatokana na ushawishi aliokuwa nao Mkuu wa Chuo Richard Mushi Masika kwa mamlaka ya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya chuo.

Wakati wengine wakiwa na bahati za aina hiyo, upande mwingine mfanyakazi wa chuo alilipiwa Dola za Kimarekani 5,500 (Tsh 12,000,000/=) za malipo ya awali kwa ajili ya kwenda kusoma Malaysia. Lakini mfanyakazi huyu alipokataa kutoa rushwa ya ngono, uongozi wa chuo ulifuta masomo yake na fedha iliyokuwa imelipwa Malaysia kupotea. Haikuishia hapo, manyanyaso yaliendelea dhidi ya mfanyakazi huyu na hatimaye masikini ya Mungu dada wa watu alishindwa kuvumilia na hivyo aliamua kuacha kazi.

Kwa namna hii si bure kwamba chuo kinaelekea kuzimu. Viongozi wengi wanaoongoza watu huomba Mungu awashushie Roho mtakatifu ili aweze kuwapa uwezo wa kuongoza kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu, hekima na busara, lakini hapa tunaona wengine wanaomba waongozwe na Roho mtaka vitu. Mungu atujalie watu wa aina hii wasiwe wengi kwa maana hasira ya Mungu ikiwa juu ya nchi ataweza kuwasha moto wa kuunguza na kuangamiza Taifa.
Nchi inapata majanga ya aina mbalimbali pengine ni pamoja na mambo ya aina hii. Mungu hapendi.
 
Dah mangi katika harakati za maisha..hao jamaa ata wawe wanauza mavi pia wataiba kama mbolea,.hawaachi kitu
 
View attachment 366792 View attachment 366791
Suzy Mosha ana bahati sana, sasa ni mara ya tatu mfululizo amekuwa mjumbe wa Bodi ya Chuo. Inadaiwa aliwezeshwa na chuo kufanya MBA na kununua gari. Inasemekana bahati ya Suzan Mosha inatokana na ushawishi aliokuwa nao Mkuu wa Chuo Richard Mushi Masika kwa mamlaka ya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya chuo.

Wakati wengine wakiwa na bahati za aina hiyo, upande mwingine mfanyakazi wa chuo alilipiwa Dola za Kimarekani 5,500 (Tsh 12,000,000/=) za malipo ya awali kwa ajili ya kwenda kusoma Malaysia. Lakini mfanyakazi huyu alipokataa kutoa rushwa ya ngono, uongozi wa chuo ulifuta masomo yake na fedha iliyokuwa imelipwa Malaysia kupotea. Haikuishia hapo, manyanyaso yaliendelea dhidi ya mfanyakazi huyu na hatimaye masikini ya Mungu dada wa watu alishindwa kuvumilia na hivyo aliamua kuacha kazi.

Kwa namna hii si bure kwamba chuo kinaelekea kuzimu. Viongozi wengi wanaoongoza watu huomba Mungu awashushie Roho mtakatifu ili aweze kuwapa uwezo wa kuongoza kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu, hekima na busara, lakini hapa tunaona wengine wanaomba waongozwe na Roho mtaka vitu. Mungu atujalie watu wa aina hii wasiwe wengi kwa maana hasira ya Mungu ikiwa juu ya nchi ataweza kuwasha moto wa kuunguza na kuangamiza Taifa.
Huyo suzy mosha mwenyewe atakuwa chakula ya watu.
 
Mkuu ni kweli hao watu ni wabaya sana.
Wakipewa vitengo huwa wanawaza kuiba tu hakuna kingine.
Kwenye kila mahali pa kazi pakiwa na Bosi mchaga lazima wapige sana.
Kwanza cha kwanza lazima atengeneze formation kwa kujaza watu wa kabila lake hapo ndio anajisikia amani.
Mchaga huwa hawezi kufanya kazi mahali kama kuna watu wa kabila zingine anakosa amani kabisa.
Ukio, njau, lema, mosha chagas people.
Halafu wanakuja vijana waarusha wanasema watu wa kilimanjaro na arusha wababe wa mjini, matajiri, watoto wa mjini lakini ukiangalia vizur hao ni watu hatar kwa taifa hili.
Hivi hapo arusha technical hamna watu wengine mpaka wajae watu wa kabila moja kwenye bodi ya taasisi moja kama hivyo, au wanataka kutambika.
Huo ni moja ya mfano wa hao watu lakini ni taasisi nyingi sana za serikali hao watu wanamichezo ya kijinga kama hiyo.
Na watoto wao wanakuwa wa kwanza kuja hapa JF kuwasafisha hao ndugu zao.
Ninachoomba wizara husika ya elimu na mafunzo ya ufundi imulike ufisadi huo hapo Arusha Technical College kwa kusafisha huo uozo hapo chuo sababu hatuwezi kuwa na mipango ya kuendeleza nchi ikiwa kuna watu wanataka kuendesha taasisi za serikali kama mali ya ukoo au kabila flani.
 
Back
Top Bottom