Wanaolalamikiwa Bodi ya chuo cha ufundi Arusha hawa hapa

Ambacho sielewi ni kuwa, hizi bodi zinaundwa na chuo au na wizara husika!
Najua bodi zote za chuo zonaundwa na wizara ili zisimamie chuo kwa niaba ya wizara husika, how come mkuu wa chuo aweke watu wake
 
Ambacho sielewi ni kuwa, hizi bodi zinaundwa na chuo au na wizara husika!
Najua bodi zote za chuo zonaundwa na wizara ili zisimamie chuo kwa niaba ya wizara husika, how come mkuu wa chuo aweke watu wake
Thomas Katebalirwe akiwa mjumbe wa Bodi kwa nafasi yake kama Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi Wizarani, alihusika kwa nafasi kubwa kumpotosha Mh. Shukuru Kawambwa wakati akiwa Waziri wa Elimu kupitisha majina yaliyopendekezwa na Mkuu wa chuo kuwa wajumbe wa Bodi ya Chuo. Hicho ndicho kilichofanyika. Lengo lilikuwa moja, kwamba waweze kufanya ufisadi kama walivyoweza kufanya!
 
Thomas Katenalirwe akiwa mjumbe wa Bodi kwa nafasi yake kama Mkurugenzi wa Elimu ya Ufundi Wizarani, alihusika kwa nafasi kubwa kumpotosha Mh. Shukuru Kawambwa wakati akiwa Waziri wa Elimu kupitisha majina yaliyopendekezwa na Mkuu wa chuo kuwa wajumbe wa Bodi ya Chuo. Hicho ndicho kilichofanyika kwa sababu zilizoainishwa hapo awali!

Kwa nnavomfahamu shukuru kawambwa, haikuwa rahisi kama unavoandika?!
Something is fishy here!!!
 
1[1].jpg Katebalirwe.jpg Masika.jpg Kuna taarifa kwamba Dkt Primus Nkwera, Thomas Katebalirwe na Richard Masika Mushi walifikia hatua ya kufuta Sheria iliyopitishwa na Bunge kinyume cha sheria
 
Duh! Mbona wa ukanda ule ni wengi hapo? Halafu kashfa nyingi za wizi nchini wamo,pamoja na wale akina nanihii wa ule ukanda wa Ziwa Victoria.
 
Kwa nnavomfahamu shukuru kawambwa, haikuwa rahisi kama unavoandika?!
Something is fishy here!!!
Iliwahi kusemwa na chama CCM kwamba alikuwa waziri mzigo, pengine mzigo kwake ni pale aliposhindwa kusimamia mambo katika wizara yake vizuri ikiwa ni pamoja na mambo kama haya.
 
Mnaut, post: 16290653, member: 349175"]Wewe ukome unahakika gani hii habari si majungu.Chuki zako kwa wachaga hazitakusaidia wewe kuwa tajiri.Utazidi kuwa mlevi mpaka kiama.Wenzako wanapiga hatua wewe endelea kula viwavi.[/QUOTE]
Mnaongoza kumpinga JPM na harakati zake za majipu
 
Vipi, Bodi ilikaa kama ilivyodaiwa? ilipitisha maazimio gani maana inasemekana huwa inapitisha kila kitu kama bomba linavyopitisha chochote, maji safi na maji taka.
 
Watoeni hawa watafuta maendeleo mlete washirikina na wapiga majungu kama wewe halafu mnaanza kulalamika hatuna maendeleo.
Hata madawati mtakosa mkae chini kama shule za huko kwenu mkaanze kumtafuta Mengi awachangie.
Baniani mbaya.....
 
Ukio, njau, lema, mosha chagas people.
Halafu wanakuja vijana waarusha wanasema watu wa kilimanjaro na arusha wababe wa mjini, matajiri, watoto wa mjini lakini ukiangalia vizur hao ni watu hatar kwa taifa hili.
Hivi hapo arusha technical hamna watu wengine mpaka wajae watu wa kabila moja kwenye bodi ya taasisi moja kama hivyo, au wanataka kutambika.
Huo ni moja ya mfano wa hao watu lakini ni taasisi nyingi sana za serikali hao watu wanamichezo ya kijinga kama hiyo.
Na watoto wao wanakuwa wa kwanza kuja hapa JF kuwasafisha hao ndugu zao.
Ninachoomba wizara husika ya elimu na mafunzo ya ufundi imulike ufisadi huo hapo Arusha Technical College kwa kusafisha huo uozo hapo chuo sababu hatuwezi kuwa na mipango ya kuendeleza nchi ikiwa kuna watu wanataka kuendesha taasisi za serikali kama mali ya ukoo au kabila flani.
Yaani suala ningekuwa authoritative wa sekta hiyo ningeifanyia kazi sasa hivi....hawa watu bado ni sumu kwa maendeleo ya nchi hii
 
Wewe ukome unahakika gani hii habari si majungu.Chuki zako kwa wachaga hazitakusaidia wewe kuwa tajiri.Utazidi kuwa mlevi mpaka kiama.Wenzako wanapiga hatua wewe endelea kula viwavi.
Ukiwa mchaga huna haki ya kuwa Mjumbe Wa Bodi? Mtakufa Na chuki kwa Wachaga. Wamalizeni kote msipowataka. Hata pale Muh2 nenda kawatoe wale walioko bcoz nako wamejaa.
 
Hivi hawa wajumbe si wanateuliwa na Waziri? Kwani kabila moja watu kibao wakati hicho chuo ni cha kitaifa.
Kuna ndugu watano wamebeba majina sawa waandamizi. Tena wa kuteuliwa
Nini kabila. Because mnawatambua kwa Sir name, miaka 10 ijayo wanakuja kivingine mfano: Albert Musa William. Sir name William.
 
Back
Top Bottom