Sooth
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 3,928
- 5,616
..Hiv IFM kuwa na alumni wanaofanya kazi BoT na TRA ndo linakifanya kiwe kizuri? Hivi haviwezi kuwa vigezo vya kupima ubora wa chuo. Kwa kifupi, chuo chochote bora kinapimwa kwa kuangalia teknolojia-uzalishaji na utumiaji wa teknolojia, idadi na ubora wa machapisho, elimu ya wahadhiri (kwa ngazi ya chuo, wahadhiri wanapaswa kuwa professors-sio wenye masters), na ukubwa wa chuo (kwa maana ya majengo na ukubwa wa ardhi). Hii BoT iliyojaa watoto wa wakubwa haiwezi kuwa kipimo sahihi cha ubora wa IFM.