Hivi SiriKali iko wapi mpaka watu wanatapeli live namna hii?
It is too much!
hata hili linahitaji serikali ndugu yangu?
Ndio. Inahitaji serikali kuwafungia vibali vya uganga..
Ndio. Inahitaji serikali kuwafungia vibali vya uganga..
Ikibainika wanawaibia watu basi nao wachukuliwe hatua....ni wizi kama mwingine...kwenda kwa waganga nayo ni imani kama ilivyo watu wengine kwenye imani zao, hawa masons nao kunaimani, je? wafungiwe vibali hawa wanaoanzisha nyumba za ibada ati wana waokoa watu hali ya kuwa ukitazama kwa undani sana ni wanazidi kuwatia watu umasikini kwa kuwachukulia hata icho kidogo walicho nacho! why sisi raia wenyewe tusiache kwenda jkwa hao waganga, na kama magonjwa twende hospitali na madawa ya miti asili, why twende ufreemanson haliyakuwa tunaimani za dini zinazoeleweka, serikali ikukataze wewe kujiunga na ufreemanson kwa kuwafungia vibali watu ili iweje/ hali yakuwa ndo imani yako hiko huko! sijaona saabu ya govt kuingizwa hapo!
kwa hli ni commitment yetu kwenye imani zetu ndo linahitajika, sasa unaamini vipi huyu mtu anashindwa kukuunga na ufreemanson?
Ikibainika wanawaibia watu basi nao wachukuliwe hatua....ni wizi kama mwingine...