Wanaofanya kazi ya kupoteza watu ndani ya "Kitengo" wanapataje kazi hii?

Lete ushahidi vinginevyo wewe nawe utakuwa huna akili pia.
Argument yako unavyoileta, inaonekana ni low IQ.

Delinquents and killers average IQ scores 8 to 10 points lower than good people, which is about one-half a standard deviation. IQ and killing or criminal behavior are negatively correlated at about r = -.20
 
Argument yako unavyoileta, inaonekana ni low IQ.

Delinquents and killers average IQ scores 8 to 10 points lower than good people, which is about one-half a standard deviation. IQ and killing or criminal behavior are negatively correlated at about r = -.20
 
Nchi zote duniani,utawala wa nchi hufanya haya mambo...iwe us,China,Russia,UK,Israel,Kenya nk
Haya mambo hutokea....ni kawaida tu

Ova
Umesema ukweli, tofauti na mataifa uliyoyataja huwa wana Idara ndani ya Idara ambayo kazi yake ni kufanya counter check kama yanayofanya na Idara wakati wa operations zake hayana uonevu na yamepata kibali cha mamlaka ya juu kwa masrahi ya Taifa, kimsingi huwa ni kitengo kinacho audit ooerations za idara.Mara nyingi kitengo ndani ya kitengo u operate kati ya Deputy DG na president wa nchi, mfano ni KIDDON ndani ya Mossad. Hapa hakuna. Nafikiri tunahitaji kurekebisha

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Kazi zote zinazohusu "kitengo" qualifications zake ni siri ya recruiters ndo maana huwa hazitangazwi, wakikufanyia surveillance wakiona unafaa watakufata wenyewe tu
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
si wote kitengoni wanafanya kazi hiyo. na si wote unaowaona ni binadamu wenye dna ya adamu. wegine wana dna ya ibilisi- half man half demon. hao ndiyo hata akiwa kitengoni haoni shida kuua kama kaini alivyomuua habili na hakukiri kuwa amekosa.

wewe ni wa nani-adamu au ibilisi?
 
Sio kawaida, ni uhalifu tu.
Hivi vitengo vipo na vinatambulika na dola ila ni siri sana hata uko kwenye dola utakuta labda wanajulikana a na watu wawili au watatu tu.. ni kweli sometimes inalazimu watu wachache wapotezwe kwa usalama wa taifa zima tatizo tu ni kama hicho kitengo kitakua na watu waliotanguliza masilahi yao mbele ya taifa ndio inawezekana wakawapoint maadui zao binafsi tu au wale wasiowapenda
 
Roho ya panya.. hajui kazi yake.. risasi zote zile hakuna iliyoenda kifuani, tumboni, kichwani? Hajui kazi
Waliopewa ile kazi walikua wazembe sana sidhani kama watakua hai mpaka leo hii maana hii kazi mission isopokua accomplished inabidi wahusika wauliwe kutunza siri., hivi walishindwa hata kumtegesha sniper mmoja sehemu nzuri jamaa akishuka tu kwenye gari anapiga ya kichwa kazi imeisha
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.

Yaani ni kazi/ajira ilioko ndani ya ajira!yaani inatoka tenda(kuna kazi ya kufanya kitu fulani )alafu hiyo tenda malipo yake ni parefu sana hivyo hugombaniwa na unafurahia ukiipata.kwa hiyo ni kazi kama kazi nyingine.
Naomba niishie hapo mi niko stendi huku napiga hela balaa abiria ni wengi magari ni machache
 
Back
Top Bottom