Wanandoa wengi hawapendani

Wewe ni wa kabila gani? Kuna makabila yanayothamini mali kuliko utu!
Mshana Jr ni Mpare na kama ujuavyo, watu wa Kilimanjaro hii ni tabia yao. Si mwanamke au mwanamme, yaani hawana afadhali.....wote ni wauwaji tu. Kama ulikuwa hujuwi alikuwa anawasemea nduguze wa mkoa wa Kilimanjaro.
 
Nilistaafu mwaka jana nikiwa na miaka 60 kama Afisa Mwandamizi. Nilichukua akiba yangu ya milioni 97 kutoka benki, na nikatumia milioni 25 kuanzisha biashara ya mke wangu ili aweze kugharamia mahitaji yake binafsi. Sehemu ya pesa nyingine niliitenga pembeni kwa ajili ya matumizi ya familia yangu, huku nyingine nikiwekeza kwenye biashara yangu. Biashara ya mke wangu iliendelea vizuri kama yangu.
Duh! Ila wanawake wakatili sana.
Nikiwa ndio mm huyo mwanamke ndio basi tena
 
Mshana Jr ni Mpare na kama ujuavyo, watu wa Kilimanjaro hii ni tabia yao. Si mwanamke au mwanamme, yaani hawana afadhali.....wote ni wauwaji tu. Kama ulikuwa hujuwi alikuwa anawasemea nduguze wa mkoa wa Kilimanjaro.
Kama ulikuwa hujuwi alikuwa anawasemea nduguze wa mkoa wa Kilimanjaro.
 
Huyu dada ni rafiki wa utotoni

Mariam wa (.....), Dada yake Vick aliyekua ameolewa na Paulo fundi bodaboda amefariki Dunia kwa stroke

Alishindwa kuruhusiwa hospital walikua na deni la 1.3m Hadi akapata stroke nyingine hapo hapo Muhimbili
Sad newas
 
FB_IMG_1683442909126.jpg
 
Ni kweli kbsa, ndoa za ckuiz zimejaa maghilibu
MFANYABIASHARA Khamis Luwonga (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa, amedai haogopi kunyongwa hadi kufa wala adhabu nyingine yoyote.

Hata hivyo, mshtakiwa huyo amedai kuwa anataka "anyongwe kwa haki" kwamba aliua bila kukusudia.

Katika kesi hiyo ya mauaji Na. 4 ya mwaka 2019, mshitakiwa Luwonga ambaye ni mkazi wa Kigamboni, Dar es Salaam, anadaiwa kuwa Mei 15, 2019, akiwa Gezaulole, Kigamboni, alimuua Naomi Marijani.

Luwonga alidai hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Ramadhani Rugemalira wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dares Salaam baada ya kusomewa maelezo ya mashihidi 28 na vielelezo 14 na upande wa mashitaka.

"Kitu ambacho ninakikataa mheshimiwa hakimu, ni kuwa niliua kwa makusudi. Mimi sikuua kwa makusudi. Hata ninyongwe leo hadi kufa kwa kile cha kweli, nitaangamia kimwili lakini siyo kiroho.

"Siogopi kunyongwa wala siogopi adhabu yoyote ile, lakini ninataka kama nikinyongwa, basi ninyongwe kwa haki kwamba niliua bila kukusudia, kwa sababu ni ajali tu ilitokea," alidai Luwonga.

Hapo Hakim Rugemalira akaingilia akisema: "Unaanza kuhubiri sasa, wewe zungumza unachotaka kuzungumza ili nikiandike kwenye rekodi za mahakama."

Luwonga aliendelea kudai kuwa msingi wa kesi hiyo ni maelezo yake, baada ya kuwaambia polisi kwamba yeye ndiye aliyeua na ndiye aliyekuwa anajitumia ujumbe mfupi kutoka simu ya mkewe kwenda katika simu yake.

"Kama shetani angeendelea kunishikilia hadi leo hi, hakuna mtu angejua kitu nimefanya, lakini roho mtakatifu alinishukia na nilikuwa na sukumwa kusema ukweli. Kwa sababu nilikaa miezi miwili na siku moja bila ukweli kujulikana, hadi sasa Naomi asingejulikana yuko wapi.

"Kutokana na hofu ya Mungu, niliamua kusema ukwell sio kwa sababu nilipata mateso kutoka kwa askari polisi, hapana! Ni mimi mwenyewe niliamua," alidai Luwonga.

Mshtakiwa huyo pia aliiomba mahakama kuwa pindi kesi itakapoanza kusikilizwa, Mahakama Kuu ihamie sehemu ya tukio nyumbani kwake, ili wane mashimo sita aliyoyachimba katika nyumba zake sita na nyumba ya kulala wageni kwa ajili ya maji taka. Alidai kuwa lengo la mahakama kwenda eneo hilo ni ili ione mashimo yaliyochimbwa yalikuwa ni ya maji taka na sio kwa ajili ya kumzika mkewe, kwa sababu yeye ndiye alitaka kwa ajili ya maji machafu.

Ni madai yaliyomfanya hakimu aingilie, akisema: "Sasa mshitakiwa huko unapokwenda ni kwenye ushahidi. Hayo utayazungumza huko Mahakama Kuu katika ushahidi wako."

Mshitakiwa Luwonga alidai: "Mheshimiwa ninaomba ufahamu jambo moja; hawa mawakili wangu nimewaomba wanitetee kwa haki na siyo kupindishapindisha mambo kwa sababu mimi ndiye niliamua mwenyewe kuzungumza ukweli," alidai Luwonga.

Alidai hayo baada ya wakili wake, Mohamed Majaliwa kumtaka aache kuzungumza. Wakili huyo alimtaka wazungumze kwanza wao kabla ya yeye kuendelea kuzungumza mbele ya hakimu.

"Ninawaomba mawakili wa serikali, mnipelekee taarifa zangu kwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kwamba aharakishe kesi hi lishe haraka kwa sababu hata Rais na jamii kwa ujumla wanataka kujua mwisho wake kwa sababu kesi yangu hii ilitikisa chi.

"Ninataka kesi hii iwe fundisho kwa watu wengi, kwa sababu tulifanya uzembe mkubwa sana sisi wanandoa na jamii pia ilifanya uzembe hadi mauaji yakatokea, alidai Luwonga.

Baada ya mshitakiwa kudai hivyo, Hakimu Rugemalira alimweleza kwamba hakuna kesi kubwa. Zote zinalingana na hakuna kesi inayotikisa chi, hivyo hata kesi inayomkabili "sio konki" kama alivyodai. Mshitakiwa huyo alidai atakuwa na mashahidi 20 na atakuwa na vielelezo wakati shahidi unaendelea. Atavitoa mwenyewe au mashahidi wake watakuja navyo mahakamani.

"Una haki zako za msingi za kupewa wakili na kupewa orodha ya mashahidi, kama utahitaji na mawakili wako hawa wawapo, hilo ni jukumu lako wewe. Kwa hiyo, unahamishiwa kwenda Mahakama Kuu," alisema Hakimu Rugemalira.

Luwonga anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa na baadaye alichukua majivu ya mwili wa marehemu na kwenda kuyafukia shambani kwake Mkuranga mkoani Pwani.

===

Kwanza nianze kuwapongeza wanandoa mliopo mkoa wa Da resalaam. Maana Kwa mujibu wa msajili wa taraka kutoka Nida mkoa unao ongoza Kwa taraka nyingi ni mkoa wa dare salaam.

Ndugu zangu GAZETI la nipashe la Tarehe 3/07/2023 limeandika habari ya Mauaji ya Naomi vizur sana Kona ya habari za mahakamani. GAZETI limeripoti yakuwa Mwanaume aliyemuua Naomi Kisha kumchoma moto alimchoma Kwa magunja mawili ya mkaa.

Pili kichwa Cha mkewe kiliwai sana kuungua maana alikuwa anakigeuza. Tatu amedai Tako lilikuwa na mafuta mengi. Nne sehemu za Siri za Naomi zlikuwa na mafuta. Tano matiti pia yalikuwa na mafuta.

Sehemu zote zilizokuwa na mafuta zilichelewa kuungua ila zilisaidia moto kukolea.

Zingatio;
Mshitakiwa anadai alikuwa na mgogoro wa ndoa na mke wake takribani miaka miwili hawakushirki tendo la ndoa,na Kila mmoja alikuwa analala chumba chake.

Ilifikia hatua Kila mmoja akawa anatoka na kulala nje ya ndoa PASIPO kuulizana au kuagana.

Naomi aliwai kumkata mmewe Kwa kisu na mme alishafika polisi mara kadhaa KULALAMIKA lakini polisi walimfukuza Kwa kumwambia atoke hapo huyo ni mkewe wao hawaingilii ndoa za watu.

Naomi aliwai mvuta mmewe sehemu Siri Tena Kwa nguvu mbele ya mama yake na mwanaume.

Naomi aliwai mpiga mmewe na ndoo ya chooni.

Mara ya mwisho jamaa akirudi kwake asubuhi na kukuta Naomi anamwandaa mtoto aende shule, jamaa aliweka simu yake mezani ilipoita Naomi akaishika na kumpelekea mmewe ukubakimwambia pokea simu za Malaya wako.

Mwishowe wakaanza kugombana Naomi akakimbilia kushika uboo na PUMBU zake Kwa nguvu,mume nae kujiami akampushi, puuuuuu! Laalura! Naomi akadondokea ukuta wa bafu na kudodondekea kichwa na kufa pale pale baada ya damu nyingi kuvujia kichwani.

Baada ya kifo mume akawaza akazike apo apo?itakuwa shida,apeleke Mwili shambani akazike, akaogopa Trafiki, mwishowe akaamua kuuchoma Mwili Ili akazike majibu ya Mwili huo shambank kwake.

ujumbe ndoa kama za Naomi na mwenzake ziko ngapi Kwa Sasa?

Je, kama polisi wetu wangeingilia kati haya yote yangetokea?

Ndoa sio msaafu shekhe!.
JamiiForums-709101973.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NANI ANAFAIDIKA NA NDOA?

Ana umri wa miaka 68. Mstaafu aliyestaafu. Alifanya kazi maisha yake yote kulea watoto wake. Alijinyima raha ya maisha kulipa karo ghali ya shule na gharama za maisha kwa watoto wake nje ya nchi. Sasa wako vizuri huko Uropa na Amerika. Mkewe, 60, amehama ili kuishi na watoto wake.

Yuko peke yake nchini Kenya. Watoto wake hawakumuita kwa shida. Sasa inabidi aanze maisha tena kama bachelor. Anapambana na shinikizo la damu na magonjwa mengine ya uzee. Je, angeishi peke yake hadi lini? Huu ndio ukweli kwa wanaume wengi wa tabaka la wafanyakazi wenye mke mmoja. Uzee wao kwa kawaida ni wapweke na katika hali nyingi, huzuni. Jaribu kadri unavyoweza, wanawake wanapenda watoto wao zaidi kuliko waume zao, haijalishi mwanaume ni mzuri kiasi gani. Kadiri anavyozidi kuwa mkubwa, ndivyo matumizi yanavyopungua kwake. Niambie basi, wanaume wanafaidika nini na ndoa? Wanajitolea sana lakini wanapata kutambuliwa kidogo kwa kazi ngumu. Mwanamke huvuna faida zote kwani watoto mara nyingi huwa karibu na kumpenda zaidi anapozeeka

IMG-20230708-WA0031.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom