Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,051
Mshana Jr ni Mpare na kama ujuavyo, watu wa Kilimanjaro hii ni tabia yao. Si mwanamke au mwanamme, yaani hawana afadhali.....wote ni wauwaji tu. Kama ulikuwa hujuwi alikuwa anawasemea nduguze wa mkoa wa Kilimanjaro.Wewe ni wa kabila gani? Kuna makabila yanayothamini mali kuliko utu!