Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Wakuu,
Kwa habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba wananchi wameifunga barabara ya segera na magari hayatembei kabisa. Kuna foleni ya ajabu.
CHANZO NA TATIZO: Ni kwamba kuna mwekezaji mwarabu, aliyenunua eneo maeneo hayo amevunja vibanda vya kufanyia biashara ndogondogo vya walalahoi (watanzania wavuja jasho)
Tutaendelea kuwajulisha zaidi..............
FOR AND ON BEHALF OF: Melo
Kwa habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba wananchi wameifunga barabara ya segera na magari hayatembei kabisa. Kuna foleni ya ajabu.
CHANZO NA TATIZO: Ni kwamba kuna mwekezaji mwarabu, aliyenunua eneo maeneo hayo amevunja vibanda vya kufanyia biashara ndogondogo vya walalahoi (watanzania wavuja jasho)
Tutaendelea kuwajulisha zaidi..............
FOR AND ON BEHALF OF: Melo
Last edited: