kipakaMwitu
Senior Member
- Feb 19, 2009
- 158
- 20
huku Moshi balaa tupu! Mafuta yapo lakn kuuza hawataki, yaan inaonekana wamechimbwa mkwara mzito. Nimemtumia rafiki yangu masawe, wamegoma, anyway ameniambia niache dumu ataniletea jion. Nitafanyeje sasa! Watu hata undugu haupo kwa hili. Wana umoja wa achabu hawa wawekezaji.