Mie mkuu naona watu wamekata tamaa.Mwnaukweli hii umenena, lakini maoni yangu ni kuwa wanaoleta haya si wananchi na wala si kukosa elimu. Wanaoleta haya ni watu wenye elimu na wanafanya kwa manufaa binafsi. Je Mtwara hakuna mtambo wa kufua umeme kwa gesi? Kwanza mimi binafsi nafikiri matumizi gesi kwa kuiunguza na kuzalisha umeme tu haitatusaidia kimaendeleo. Tunahitaji kufanya zaidi ya hapo kuona kuwa gesi yetu inalifaidia taifa. Tusiwaaminishe wananchi kuwa matumizi ya gesi ni kuzalisha umeme tu na kuwa gesi itamaliza kabisa tatizo letu la umeme!
Mkuu ni vema ungeachana na porojo,ili tujadili hii hoja kwa hufasaa maana inaumuhimu mkubwa sana kwa maendeleo ya nchi yetu!jibu maswali niliyouliza!!Ficha ujinga wako....
..... Haijaniingia akilini... wanaandamana kuzuia gas isije Dar? inaamaana ikija Dar itaisha wao watakosa au? Hapo najiuliza iwapo kila mkoa utaamua kuzuia mali zilizoko katika maeneo yao ingekuwaje katika Tz? .....
sisi watanzania ni watu wa ajabu sana!leo watalalama,wataandandamana na kutoa kila aina ya hisia zao kupitia mabango ila cha ajabu ukija uchaguzi wanachagua watu wale wale tena kwa kura nyingi tu.sasa sijui tumelogwa au ni uwendawazimu!majibu sipati.
Hizi NGOs na vyama vinavyoshabikia maandamano ya watu wachache wa Mtwara watueleze yafuatayo:-
1. Uzalishaji wa gesi unaofanyika Mtwara
2. Watumiaji wa gesi mkoani Mtwara
Wananchi wasikubali kutumiwa na watu wanaotaka kupata maslahi yao kupitia maandamano
we kweli pilau...wanachotaka ile processing ya ku add value ya gas ifanyike mtwara,hawajasema wanataka kubaki nayo watumie peke yao, so kama ni viwanda vya kuiprocess gas kwa kuuza vijengwe mtwara....pia itakuwa ni ajabu gas inayozalishwa mtwara ikaanza kutumiwa na wanadaslam....faida yake ni kwamba miundombinu kama barabara zitaboreshwa,ajira zitaongezeka,biashara zitafanyika sababu ya population kuongezeka,mzunguko wa fedha utaongezeka pia....cha muhimu zaidi ni mrahaba....sasa wewe pilau bila kachumbari usiwe unaropoka kama kitu ujakielewa.
Ndugu zangu wa Mtwara nyie ni watu makini, msiponzwe na CHADEMA, maandamano si njia bora ya kudai haki zenu, tumieni wawakilishi wenu kuanzia madiwani hadi wabunge watafanyia kazi kupitia serikali yetu sikivu
we kweli pilau...wanachotaka ile processing ya ku add value ya gas ifanyike mtwara,hawajasema wanataka kubaki nayo watumie peke yao, so kama ni viwanda vya kuiprocess gas kwa kuuza vijengwe mtwara....pia itakuwa ni ajabu gas inayozalishwa mtwara ikaanza kutumiwa na wanadaslam....faida yake ni kwamba miundombinu kama barabara zitaboreshwa,ajira zitaongezeka,biashara zitafanyika sababu ya population kuongezeka,mzunguko wa fedha utaongezeka pia....cha muhimu zaidi ni mrahaba....sasa wewe pilau bila kachumbari usiwe unaropoka kama kitu ujakielewa.
....mamba siku ya kwanza kuiona dunia..... unaweza kumweka mfukoni...akishakua atakuweka mfukoni kama punje ya mchele....
kamjusi tuuuu.....!!!!
mkoa wangu upo nyuma sana, hizo tetesi za kukataliwa hawa wa ghasia zilianza kama mzaha sasa zinajitokeza. gas inapelekwa dar wenyewe hatufaidiki wapi na wapi?
Naomba na ajitokeze mtu na
aeleze faida ya Gesi ya Mtwara kubaki Mtwara...
Pia aeleze hasara za gesi ile kupelekwa katika miji mingine kama
Darisalama....Kwa watu wa Darisalama, kwa watu wa Mtwara na Kwa
Watanzania wote....
Good move kama wameruhusiwa...but waangalie wasivunje tu sheria!
nilikuwa nakusubiri the big show.....hawa jamaa tutawakimbiza kwa mikuki, we ngoja tu!!
muulize atuambie vizuri,yy ni pilau au bwabwa??Ss tunakula vyote vyote mapilau na mabwabwa kama yeyekama hajui kinachozungumzwa apige kimya,watu tunatetea kizazi chetu kijacho,hiki cha kwetu kishagharimika na hawa mafisi ahadi wa ccm
hamchelewi kusema ni M4C!Good move kama wameruhusiwa...but waangalie wasivunje tu sheria!
Ndugu zangu wa Mtwara nyie ni watu makini, msiponzwe na CHADEMA, maandamano si njia bora ya kudai haki zenu, tumieni wawakilishi wenu kuanzia madiwani hadi wabunge watafanyia kazi kupitia serikali yetu sikivu