Wengi wamefunga ramadhani !sidhani njaa itakuwa imewauma na wamerudi mtaani kujitafutia riziki tena,labda kama watapangiana shifti sawa
Oyaa!! Msata kuna maji tena mengi sana ya bomba, yanatoka Mto Wami, yanapita Msata then Chalinze.
Huu uzushi, labda kama wamegomea madudu mengine sio maji.
Nimepita hapo leo kama nilivyoahidi jana , Kuna matatizo ya kiuongozi katika
Vijiji hivyo , Wengi wa wanavijiji wanamlaumu kiongozi mmoja wa chama
tawala eneo Kwa kupandisha Bei ya Maji Katika Gari moja ambalo huwa
linasambaza maji katika vijiji hivyo , Yaani maji yanachukuliwa Wami
wanauenda kuwauzia wanavijiji na wauzaji ndio hao viongozi wao , Kwenye
vijiji hivi pia kuna miradi ya maji inayofadhiliwa na NGO zingine lakini
sikuweza Kuwasiliana na NGO hizo kutokana na Muda wangu mchache , Lakini
wanavijiji wameonyesha kuamka na kutaka mabadiliko kwenye Eneo lao .