Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Kuna taarifa nimepata dakika si chache zilizopita kuwa wananchi maeneo ya Msata wamelala barabarani ili kudai maji kwani serikali haiwasikilizi walichoona ni bora kufanya ni kufunga barabara itokayo Tanga/Arusha kwa kulala barabarani. Magari hayawezi kwenda Dar wala Moshi/Tanga mpaka kitakapoeleweka.
Habari zaidi tutaendelea kufahamishana
Habari zaidi tutaendelea kufahamishana