The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Sasa hivi africa nzima wanamuziki wa nigeria
wanatamba.....
Sasa mimi huwa najiuliza hivi kwa nini hawatambi dunia nzima?????
I mean sijawahi sikia labda p square ft snoop hivi
au j martin ft beyonce....
Nini kinachowafanya wasitambe duniani?
Mbona wajamaica wanaweza?????
Wanaigeria wanashindwa vipi?
Sijawahi sikia wako kwenye chart ya bilboard hivi...
Au wanakubalika us na europe labda lakini mimi sijasikia...
wanatamba.....
Sasa mimi huwa najiuliza hivi kwa nini hawatambi dunia nzima?????
I mean sijawahi sikia labda p square ft snoop hivi
au j martin ft beyonce....
Nini kinachowafanya wasitambe duniani?
Mbona wajamaica wanaweza?????
Wanaigeria wanashindwa vipi?
Sijawahi sikia wako kwenye chart ya bilboard hivi...
Au wanakubalika us na europe labda lakini mimi sijasikia...