Wazo zuri sana,tenaaa litakusaidia kuweza kuwasaidia wananchi wa kata yako kwa namna moja ama nyingine na piaaaaaaaa,....on the other side its a political uplift,....jiulize umewahi kusikia diwani anae vuma kwa kufanya jambo lolote?
Try this,am sure ukielezea hali kama hizi kwa waandishi wa habari utapata harambee ya kutosha tu
Speaker... nashukuru... i am also glad for stretching the idea ... yes inawezekana kabisa ukatengeneza a very irritating video documentary itakayo onyesha the actual situations on the ground...isifiche kitu wala kuchakachua.....onyesha tangu mwanafunzi anavyotoka nyumbani labda hata kifungua kinywa hapati...akitembea umbali wa kilometer mbili plus.....onyesha vyoo in bare outlook na jinsi madarasa, madawati na vitendea kazi kwa walimu yalivyo duni na finyu na uhalisia wote kwa ukweli na uwazi ...ducumentary itakuwa pread all over the country through popular media (lobby for kipindi maalum) pia ikawa distributed even to international media like Euro news..BBC na pia kuna documentary channels nyingi ..., hii itaweza kufanya pia serikali kushinikizwa na nchi wafadhili kukumbuka majukumu pia itashawishi na kufanya kuwepo na uwezekano wa ufadhili kutoka kwa good Samaritans if not donor governments, angel well wishers and other international stakeholders... documentary hii inaweza ika attract hata volunteer professionals both local and international like teachers (world youth organization can be one).... mimi ni Quantity Surveyor ninaweza ku prepare Bills of Quantities na emergency schedule/program of works ya maendeleo ya ujenzi na uboreshaji wa shule for free ... something like that