asante sana mkuu!!! usiku mwema!!!Tembea toka stend ya mabasi ubungo mpaka sheklango ,panda mabasi ya mwenge,shuka ongera bar .pembeni ya ongera bar kushoto ndipo chuo cha ustawi wa jamii.ukitaka enda chuo cha tax(tra) tembea mpaka kituo cha daladala cha itv,then apo kulia utaona bango la chuo cha tax.fuata maelekezo,chuo kipo baada ya itv