inatakiwa kutoa tamko moja la wanafunzi kidato cha sita, na sio kuacha nidhamu za uoga tumezungushwa vya kutosha this year....waziri wa elimu yuko waap kutoa tamko.
Chuo bila jkt inawezekana!!. 2paze sauti kwa pamoja kama kweli 2napenda elimu, jkt kwa sasa mda wake umepita, sasa ni chuo kwanza ukakamavu baadae. Cha msingi 2siende JKT mpaka 2one itimisho la serikari kuhusu huu mchanganyiko wa mambo."ELIMU KWANZA UKAKAMAVU BADAE"