Kwa hiyo hapo ndio kusema mwl. Kapatwa Na mwanafunzi au imekaaje?Kwa wale Teachers na wengine shaurianeni ni hatua zipi tuchukue pindi mwanafunzi wako anapo kuapproch maana hizi ni mojawapo ya changamoto zenu...!
Mimi nina taaluma ya ualimu na kwa uzoefu wangu wa kazi hiyo nina hakika hii
UKIONA MWANAFUNZI AMEKUTONGOZA BASI FAHAMU KUWA WEWE NI MWALIMU AMBAYE UPO CHINI KABISA KATIKA MISINGI YA TAALUMA YAKO
Hiyo ni kiashishiria kwamba wewe si mwalimu unayejua kazi yako vema
Nakumbuka ilikuwa mwaka fulani nilifundisha shule ya msingi moja jijini Dar es Salaam
enzi hizo bado kijana sana watoto wa kike walionesha kupenda sana uwepo wangu karibu yao lakini daima nilisimamia misingi ya kazi yangu na nilikuwa ninaadhibu pale wanafunzi wanapokosea bila kujali wana hisia gani juu yangu hahaha baada ya muda wa majuma mawili wanafunzi walikuwa washaelewa huyu jamaa yupo kikazi zaidi so kilichofuatia hapo ilikuwa ni kunipenda katika suala la kujifunza (kimasomo) tu not otherwise na km ningelegea tu nikawa mwepesi kuzipa nafasi nyendo zao zilizoonesha walikuwa wanaelekea kwenye mazoea mabovu lazima wangeniambia wazi wanataka nini kwangu
Hivyo mwl jifunze kuwa makini wakati wote ukiheshimu misingi ya kazi yako wala hutoona ujingq huo wa kutongozwa na wanafunzi
Na haya huwakuta walimu walioendekeza usela mbele kuliko taaluma yao
Aione FaizaFoxy ndio utajua hujui mkuuHivi huyo hadija si ndio alikuwa mchepuko wa Mtume
Jiheshimu, acha upumbavu. Heshimu na wengine ambao hawajakukosea.Hivi huyo hadija si ndio alikuwa mchepuko wa Mtume
🗣️Jiheshimu, acha upumbavu. Heshimu na wengine ambao hawajakukosea.