Wananchi na hasa vijana tukutane Mnazi Mmoja Tarehe Ijumaa 02/04/2011 kushikana mikono kwa amani tukiandamana Kutoka Mnazi Mmoja mpaka Posta Mpya kupinga serikali ya CCM. Swala sio nani ameorganize ila ni vijana wote Tanzania na Tunanzia hapa mengine Yanakuja. Kinachitakiwa ni Kutawanya Habari kwa Vijana Wote Dar na Hasa Wanafunzi wa UDSM. Makundi mengine yaanzie sehemu tofauti kuelekea Posta. Sababu za kutaka CCM waondoke ni zifuatazo:
1. Kamati ya CCM kuamua kulipwa kwa Dowans wakati watanyaka hawalipwi vya kutosha na waliritaya mpaka leo wengi hawajalipwa
2. Kwanini serikali ya CCM inaendelea kusaini mikataba hewa kama ya Richmond kwa manufaa ya mafisadi
3. Mauji ya Arusha na vitendo vya CCM kujaribu kucover up ukweli
4. Katiba mpya na kuhusishwa kwa wananchi kuunda Katiba ya manufaa kwa wananchi wote
5. Uchakuchuaji wa CCM kumweka JK madarakani na wabunge wao
6. Umaskini unaoletwa na chama cha CCM kwa miaka 50
7. Tatizo la Umeme na upandaji wa bei za vyakula
8. Wizi na Siri katika Shirika la TRA na Bank Kuu ya yetu
"Maandamano ya Amani ni Haki ya kila Raia Duniani"
The right to form groups, to organise and to assemble together with the aim of addressing issues of common concern is a human right. The ability to organise is an important means by which citizens can influence their governments and leaders. The right to freedom of association and assembly is protected in international and regional human rights treaties. These rights are applicable to any issue. Mass protest is a potent symbol of the exercise of this right.
The right to freedom of association appears is guaranteed many international human rights treaties. However, the right has been most defined and elaborated in international labour law given the particular links between these rights and the ability of workers to secure their economic and social status. Freedom of association is one of the central provisions underpinning the work of the International Labour Organization (ILO). ILO standards uphold the rights of workers and employers to form organisations and to bargain collectively.
The Universal Declaration of Human Rights
1. Kamati ya CCM kuamua kulipwa kwa Dowans wakati watanyaka hawalipwi vya kutosha na waliritaya mpaka leo wengi hawajalipwa
2. Kwanini serikali ya CCM inaendelea kusaini mikataba hewa kama ya Richmond kwa manufaa ya mafisadi
3. Mauji ya Arusha na vitendo vya CCM kujaribu kucover up ukweli
4. Katiba mpya na kuhusishwa kwa wananchi kuunda Katiba ya manufaa kwa wananchi wote
5. Uchakuchuaji wa CCM kumweka JK madarakani na wabunge wao
6. Umaskini unaoletwa na chama cha CCM kwa miaka 50
7. Tatizo la Umeme na upandaji wa bei za vyakula
8. Wizi na Siri katika Shirika la TRA na Bank Kuu ya yetu
"Maandamano ya Amani ni Haki ya kila Raia Duniani"
The right to form groups, to organise and to assemble together with the aim of addressing issues of common concern is a human right. The ability to organise is an important means by which citizens can influence their governments and leaders. The right to freedom of association and assembly is protected in international and regional human rights treaties. These rights are applicable to any issue. Mass protest is a potent symbol of the exercise of this right.
The right to freedom of association appears is guaranteed many international human rights treaties. However, the right has been most defined and elaborated in international labour law given the particular links between these rights and the ability of workers to secure their economic and social status. Freedom of association is one of the central provisions underpinning the work of the International Labour Organization (ILO). ILO standards uphold the rights of workers and employers to form organisations and to bargain collectively.
The Universal Declaration of Human Rights